realMamy
JF-Expert Member
- Apr 28, 2024
- 7,335
- 18,388
Sawa nitafanya hivoWakimbie
Sawa nitafanya hivoWakimbie
Vithibitisho vipo ni Katoto kamemaliza form four mwaka janaWee shem em sema kweli?
Kupigana kunatoka wapi tena?unajua kupigana kwel?
Amina...Sawa nitafanya hivo
Wee usiniambie? Afu shem njoo PM kuna kitu nataka nikuambie.Vithibitisho vipo ni Katoto kamemaliza form four mwaka jana
yes! Andika yake inaakisi kilichomo kwenye pichu.Aolewe kwani yeye mwanamke?
mafahari wawili hawakai zizi moja lazma wapganeKupigana kunatoka wapi tena?
NakujaWee usiniambie? Afu shem njoo PM kuna kitu nataka nikuambie.
Ngumi nazijua , sijawahi kupigwa kwenye mapigano yangu yote.unajua kupigana kwel?
Waohooo ngoja nijipongeze na serengeti ya baridi hapa!Ushafanikiwa wala usiwaze
Nakusubirii shem ake.Nakuja
Naomba kwanza ruksa kwa Lamomy ujue. Vumilia kidogoNakusubirii shem ake.
realMamy nakupenda sana we mtoto.I'd yangu iheshimiwe
Haihusiani na ID yoyote umesikia.
Kama mtu ameamua kuandika vitu anavyojisikia
Usinihusishe mimi.
Nijipigie promo Ili iweje labda
Hebu waambie Mods kama Kuna ID nyingine inayohusiana na mimi?
Jiheshimu
Kuanzia Leo sitaki mpumbavu yeyote ahusianishe ID yangu na nyingine Mnikome.
Real Mamy bila shaka bado yupo yupo kwanza vinginevyo aseme.Ninaulizia tuh nipange harakati za kukufikia la mama.maana ww wa moto sana.
Je samaki atanunuliwa na ile noti ya mia mbili au sarafu ya mia bee?
Uvuvi haram BwasheeJe samaki atanunuliwa na ile noti ya mia mbili au sarafu ya mia bee?
VIjana nyege zinawaendesha sanaNinaulizia tuh nipange harakati za kukufikia la mama.maana ww wa moto sana.