hawa wote watapotea uwanjani kwenye hizo mechi. Overrated english brats
Overrated kivipi wakati mmoja wapo akichukua league na UEFA halafu England ikafanya vizuri EURO ana nafasi kubwa ya kuchukua Ballon d'or?hawa wote watapotea uwanjani kwenye hizo mechi. Overrated english brats
Hawawezi kupotea mkuuhawa wote watapotea uwanjani kwenye hizo mechi. Overrated english brats
Hawawezi kupotea mkuu
Overrated kivipi wakati mmoja wapo akichukua league na UEFA halafu England ikafanya vizuri EURO ana nafasi kubwa ya kuchukua Ballon d'or?
FC Barcelona ndio bingwa wa UEFA champions League mwaka huu 2024.
Tunza hii risiti mtani.
kakojoe ulaleFC Barcelona ndio bingwa wa UEFA champions League mwaka huu 2024.
Tunza hii risiti mtani.
Kuna El classical ya wanawake huko tusha pigwa tatu
Hii timu sijui tatizo ni kocha ama ni Wachezaji!? Msimu huu tumesajili wachezaji wazuri tu, ila matokeo hayaendani na usajili, nilikuwa na matumaini makubwa sana msimu huu., ila kiukweli nilikuja kugundua kuwa bado team ina safari ndefu.Hii timu inanikera sana, yaani kama sio Real Madrid.
Nadhani Perez haja amua kuweka nguvu kwenye hii timuHii timu inanikera sana, yaani kama sio Real Madrid.
Nliangalia mechi ya jana kuna tatizo kwenye coachingHii timu sijui tatizo ni kocha ama ni Wachezaji!? Msimu huu tumesajili wachezaji wazuri tu, ila matokeo hayaendani na usajili, nilikuwa na matumaini makubwa sana msimu huu., ila kiukweli nilikuja kugundua kuwa bado team ina safari ndefu.
Tuliachana na Esther Gonzalez tukitegemea Caroline ataongoza safu ya ushambuliaji, ila bahati mbaya akaumia, hapo ni mpaka msimu ujao ndio ataitumikia tena team., msimu umeisha huu, wakomae tu tumalize nafasi ya pili, tuone uongozi kama utabadilisha bench la ufundi ama laa.
Ni kama mkataba umetufunga hivi, Mzee Perez anashindwa kufanya maamuzi makubwa, kwasababu ile team tuliinunua pamoja na management yake, yule Bibie ndiye mwenye nguvu, acha tu tusubiri kama kutakuwepo na mabadiliko huko mbeleni.Nliangalia mechi ya jana kuna tatizo kwenye coaching
Ulikuwa sio mpango wake kuwekeza kwenye team ya Wanawake, ila kelele zilikuwa nyingi sana, ndio maana akaamua kuingia huko.,Nadhani Perez haja amua kuweka nguvu kwenye hii timu
Wachezaji wa Real Madrid usiku huu,
• Arda Güler anaanza akiwa na Uturuki •
Toni Kroos na Rudiger wanaanza huko Ujerumani
• Cama & Tchouameni wanaanza Ufaransa
• Fede Valverde anaanza Uruguay
• LUNIN anaanza na Ukraine
• Jude Bellingham anaanza kwa Uingereza •
Luka Modric anaanza kwa Croatia
• Vini & Rodrygo wanatarajiwa kuanza kwa Brazil.
Cha Msingi ni dua Tu ili habari mbaya za Majeruhi zisitokee.
Wote walicheza, sijasikia shida yoyote mpaka sasa., ni matumaini yangu watarejea salama.Wachezaji wa Real Madrid usiku huu,
• Arda Güler anaanza akiwa na Uturuki •
Toni Kroos na Rudiger wanaanza huko Ujerumani
• Cama & Tchouameni wanaanza Ufaransa
• Fede Valverde anaanza Uruguay
• LUNIN anaanza na Ukraine
• Jude Bellingham anaanza kwa Uingereza •
Luka Modric anaanza kwa Croatia
• Vini & Rodrygo wanatarajiwa kuanza kwa Brazil.
Cha Msingi ni dua Tu ili habari mbaya za Majeruhi zisitokee.
Niliona kwenye article fulani hivi, sikumbuki ile source, ni kama wanataka Dogo abakie Brazil kwa msimu mmoja tena, sijui kambi yake wataamua vp.,Dogo Endrick katupia tena leo. 2 games and 2 goals akiwa kwenye National team. Inaelekea msimu ujao tutakuwa na safu ya ushambuliaji yenye akili, yaani pale mbele tutakuwa na Brazilian attacking weapons + Kilian Mbappe. Yaani ni squad bora kutokea kuliko ya kina Figo na Beckham
Camavinga alipata pancha kidogoW
Wote walicheza, sijasikia shida yoyote mpaka sasa., ni matumaini yangu watarejea salama.
Tuna game za muhiju sana kuanzia Jumapili.