United ya Ferguson
JF-Expert Member
- Oct 29, 2021
- 3,234
- 6,597
Rudiger anapiga Goli la pili la kichwa
Hahaha, sio mbaya sana,watoto wameamua kujifunga wenyewe
Kijana ana uwezo mkubwa sana akiwa na mpira mguuni, shida ni ile tu sio mlinzi mzuri.., ndio maana Carlo anaanza na Rodrygo, Ninamsubiria huyu Arda akae vizurisema brahim diaz anauja sana
Vin na radrygo wakialternate kushoto kulia kulia kushoto modric akiwa katika master piece yake kupiga long passes japo sina uhakika kama atauweza mziki wa viungo wa cityzens. Ikiwa ivo tumetinga fainaliMkuu dawa ya city sa hv wengi washaipata,nina imani kubwa sana hawa tunawaweka tena wakikaa vibaya hata draw hawapati.
Sent from my SM-A336E using JamiiForums mobile app