Cesar Caspar
JF-Expert Member
- Jul 31, 2015
- 3,100
- 5,182
Dogo ni kama homa ya vipindi, Leo yupo poa kesho anazingua., nafasi ya kwanza imemdondokea yeye ila akashindwa kufanya chochote., acha tuone Ancelotti atakuja na jipya gani kipindi cha pili. Ila tukitolewa basi ajue kazi yake inaishia msimu huu.Asensio atoke anatuka