Sijui leo tutashinda Qmamae!
Kama asilimia ngapi hivi unahisi tutashinda! Mimi 60%Leo tuna nafasi ndogo sana kuishinda hii mechi. Ndogo mnoo
Kama asilimia ngapi hivi unahisi tutashinda! Mimi 60%
Mzee umekata tamaa sana, kwa upande wangu ninaona uwezo wa kuwafunga PSG tunao tena mkubwa tu, suala msingi ni vijana wetu wawe wapo poa kisaikologia na morale ya kusonga mbele.,Leo tuna nafasi ndogo sana kuishinda hii mechi. Ndogo mnoo
Beki ya kushoto ninadhani ndio sehemu iliyo na changamoto, kama ilikuwa ni Zidane angepanga mabeki watatu nyuma, huku Marcelo na Carvajal wakicheza kama wing backs, Kwa upande wa Ancelotti sijawahi kuona akitumia formation hiyo, Sasa sijui Leo atakuja na mpya gani ., acha tusubiri.tukiweza kuzuia vizuri tunashinda hii game naona tuna shida mapema
Ana shida ya kujisahau, tuombe kuwa leo atakuwa na wakati mzuri uwanjani.,Huyu Nacho me sijawah mkubali aisee...kwangu ni average player mbaya kabisa.





Asensio atoke anatukabaKama tulicheza hivi leg ya kwanza hata kidogo Leo tungekuwa na kazi ndogo ya kufanya, ila kwasasa bado tuna mlima mrefu wa kupanda.
Hakuna cha mlima mrefu kupanda, hapa mmeshaaga kabisa mashindano.Kama tulicheza hivi leg ya kwanza hata kidogo Leo tungekuwa na kazi ndogo ya kufanya, ila kwasasa bado tuna mlima mrefu wa kupanda.