Cesar Caspar
JF-Expert Member
- Jul 31, 2015
- 3,703
- 6,363
Game ilibadilika ghafla walipoingia hawa madogo, pressing ya kutosha, pass za uhakika kutoka nyuma, kuanzia pale niliona dalili za wazi kabisa za kusawazisha.,Eduardo Camavinga and Rodryigo are game changers.
Ila Camavinga ni![]()
Ila Camavinga kiukweli dogo anajua sana, ana uwezo mzuri wa kukaa na mpira halafu pia ana uwezo wa kupiga pass zenye macho., team inakuwa vizuri sehemu ya kiungo inapotulia, ni kazi kwa Ancelotti kumchezesha mara kwa mara ili apate uzoefu.



