Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

1646512245241.png
 
Tunasubiri sasa matajiri wa paris tuone kama tutachomoka nao
Endapo vijana watacheza kama jana, basi tutatoka na kitu, ila shida ni kwamba tutakosa huduma ya Casemiro na Mendy, wakati huo huo tukisubiri kuona Kroos atakuwa na hali gani.,
Sema hata pale kati akisimama Valverde, Camavinga na Modrić bado itakuwa poa tu, kwanza hata aina ya mpira tunaohitaji kucheza wa ku press high itakuwa poa kwasababu vijana huo uwezo wanao.
Mpka sasa sijajua upande wa kushoto Ancelotti atau-cover vipi, ila acha tusubiri tuone itakavyokuwa.
 
Back
Top Bottom