21 February
JF-Expert Member
- May 19, 2017
- 3,264
- 2,776
Hazard gari la mkaa
Hazard gari la mkaa
ATM hawatabiriki, msimu uliopita walitoka suluhu mechi 16Poleni sana.
Msimu huu ATM ashindwe mwenyewe tu.
Hazard aliyataka mwenyewe. Aliondoka blues kwa nyodo sana.Huyo jamaa ni scam, anauza jina la tu lakini hawezi kuwa kwenye kumbukumbu ya vitabu vya Real Madrid. Perez asipoweka pesa kwenye hii timu, kuna hatari ya kubebeshwa virago kama yule wa Barcelona. Hatuwezi kufungwafungwa kila siku halafu president anakenua tu kama boya
Hapana mkuu Hazard aliondoka kwa amani kabisaHazard aliyataka mwenyewe. Aliondoka blues kwa nyodo sana.
Mfumo umebadilika..... Walikua wanacheza defensive sana ila sahivi wanashambulia mwanzo mwisho.ATM hawatabiriki, msimu uliopita walitoka suluhu mechi 16
Zizou kaishiwa mbinu kabisa.. Timu inapiga pasi kibao zisizo na maana. Terrible playing style. Kutengeneza nafasi ni kama tunabahatisha tu.
Huwezi kua na mbinu kwa wachezaji aina ya Mariano hapa Zizu tutaemuonea bure nisha sema humu bila kufanya usajiri wa maana hatuwezi kufika popoteZizou kaishiwa mbinu kabisa.. Timu inapiga pasi kibao zisizo na maana. Terrible playing style. Kutengeneza nafasi ni kama tunabahatisha tu.
Wanachezewa mpira hapa... yanakimbia kimbia tu.. hakuna mpangilio.. kushneyHiii Timu imeshajifia kabisa