Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Hii team gereji timu shamba inakatisha tamaa..nafikiri ni muda sasa tupasue kibubu tufanye usajili kila siku nasema ramos na varane wasicheze pamoja miguu inawasaliti.
Ramos na Varane ni duo back moja kali sana wewe. Matokeo ya mechi moja yasitufanye tutafute lawama za kulazimisha.

Tumefungwa kwa sababu moja, maandalizi ya mechi ya UEFA keshokutwa Jtano.
 
Ramos na Varane ni duo back moja kali sana wewe. Matokeo ya mechi moja yasitufanye tutafute lawama za kulazimisha.

Tumefungwa kwa sababu moja, maandalizi ya mechi ya UEFA keshokutwa Jtano.
Ilà Varane kazidi maboko
 
Ramos na Varane ni duo back moja kali sana wewe. Matokeo ya mechi moja yasitufanye tutafute lawama za kulazimisha.

Tumefungwa kwa sababu moja, maandalizi ya mechi ya UEFA keshokutwa Jtano.

Ungekua unafatilia mpira tungezungumza kumbe bure kabisa yawezekana ata game za mpira uangalii
 
1st goal. Mariano
1605976708899.gif
 
Sub alizofanya zizou game ya jana na villareal hazikufanya madhara yyt ila wenzetu vilareall sub zao zikazaa goli. Dogo vinuscius sijui hana macho miguuni kwako. Jana alikuwa na the worst performance
 
Tumeshinda game lakin tumebebwa.
Inter wamenyimwa penalty kama tuliopewa sisi. Arturo Vidal kaonewa sana.
 
Hii timu inaitaji ufagio wa nguvu kuanzia benchi la ufundi adi uwanjani bila hivyo tutakua mguu ndani mguu nje.
 
Back
Top Bottom