Nilitangulia kusema hili kundi litakua gumu kwetu tena sana
Gumu kutokana na timu yetu ilivyo

Nmezima TV sitaki kushuhudia hii aibuJama jama jama, yaani nimetoka kidogo tu na kurudi tumepigwa bao nne. Sasa hivi nimehama Channel, bora niangalie CNN tu na habari zao uchaguzi.
Yaani tumepigwa penalty 3