Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Miaka michache ya hapo nyuma Kuna watu walikuwa wanasema Zizzou ni bora kuliko makocha wote waliopo English premier league, nikawaambia bado hatujauona uwezo halisi wa Zidane kama kocha.

Leo hii anatuthibitishia kuwa yeye ni kocha wa kawaida sana level za akina Pochetino. Wachezaji na system tangulizi ndio vilimbemba kwenye ile glorious spell.

Kama Kuna kitu ambacho Zidane amefanikiwa kwa uwezo wake binafsi Kama kocha pale Real Madrid, Basi ni kuwapa uhakika wa matokeo kwenye mechi dhidi ya Barcelona (El classico) tofauti na hapo hakuna kingine amebaki kibahatisha tu.

Mfano kama sasa hivi, real Madrid akifaulu kuingia mtoano kwenye UCL utakuwa ni ubahatishaji tu... Na hayo ndio yatakuwa maisha yake kama akiendelea kuwepo hapo klabuni
ile hattrick ya UEFA kuna watu walisema ni sababu ya ronaldo wengine Zizou
ila sasa sio zizou wala ronaldo aliyeionja UEFA.. kwahyo unasema ilikuwa sababu ya nini?Maana wachezaji ni walewale
 
ile hattrick ya UEFA kuna watu walisema ni sababu ya ronaldo wengine Zizou
ila sasa sio zizou wala ronaldo aliyeionja UEFA.. kwahyo unasema ilikuwa sababu ya nini?Maana wachezaji ni walewale
Kwa ufupi tu jibu lako ni hili.

Perez+Zidane+Ronaldo=Three champions league titles.

Na hivyo vyote vitatu vinategemeana, na kikipungua hata kimoja tu, sahau kuhusu UEFA.

Yule aliyekimbilia Turin fainali ataionea kwenye bomba tu na hawa waliobaki siku sio nyingi watatarakiana kweupe.
 
Kwa ufupi tu jibu lako ni hili.

Perez+Zidane+Ronaldo=Three champions league titles.

Na hivyo vyote vitatu vinategemeana, na kikipungua hata kimoja tu, sahau kuhusu UEFA.

Yule aliyekimbilia Turin fainali ataionea kwenye bomba tu na hawa waliobaki siku sio nyingi watatarakiana kweupe.
Kwahyo unasema cr7 akirudi Bernabeu UEFA tunachukua?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwahyo unasema cr7 akirudi Bernabeu UEFA tunachukua?

Sent using Jamii Forums mobile app
Siwezi kusema moja kwamba jibu ni ndio, issue kubwa hapo je waliopo pembeni yake watakuwa wana spirit ile ile ya upambanaji Kama yeye?? Watakuwa bado Wana njaa ya mafanikio kma yeye?? Maana hao akina Varane siku hizi wanacheza Kama wako mazoezini, mechi wanayojituma sana ni moja tu.
 
Back
Top Bottom