Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Hii timu inahitaji reform kubwa sana,kimsingi wachezaji wamechoka na wanategeana yaan.
 
Zidane sijui nini kinamsumbua anamtoa Benzema anaweka Mariano Diaz , tuna safari ndefu
Miaka michache ya hapo nyuma Kuna watu walikuwa wanasema Zizzou ni bora kuliko makocha wote waliopo English premier league, nikawaambia bado hatujauona uwezo halisi wa Zidane kama kocha.

Leo hii anatuthibitishia kuwa yeye ni kocha wa kawaida sana level za akina Pochetino. Wachezaji na system tangulizi ndio vilimbemba kwenye ile glorious spell.

Kama Kuna kitu ambacho Zidane amefanikiwa kwa uwezo wake binafsi Kama kocha pale Real Madrid, Basi ni kuwapa uhakika wa matokeo kwenye mechi dhidi ya Barcelona (El classico) tofauti na hapo hakuna kingine amebaki kibahatisha tu.

Mfano kama sasa hivi, real Madrid akifaulu kuingia mtoano kwenye UCL utakuwa ni ubahatishaji tu... Na hayo ndio yatakuwa maisha yake kama akiendelea kuwepo hapo klabuni
 
Miaka michache ya hapo nyuma Kuna watu walikuwa wanasema Zizzou ni bora kuliko makocha wote waliopo English premier league, nikawaambia bado hatujauona uwezo halisi wa Zidane kama kocha.

Leo hii anatuthibitishia kuwa yeye ni kocha wa kawaida sana level za akina Pochetino. Wachezaji na system tangulizi ndio vilimbemba kwenye ile glorious spell.

Kama Kuna kitu ambacho Zidane amefanikiwa kwa uwezo wake binafsi Kama kocha pale Real Madrid, Basi ni kuwapa uhakika wa matokeo kwenye mechi dhidi ya Barcelona (El classico) tofauti na hapo hakuna kingine amebaki kibahatisha tu.

Mfano kama sasa hivi, real Madrid akifaulu kuingia mtoano kwenye UCL utakuwa ni ubahatishaji tu... Na hayo ndio yatakuwa maisha yake kama akiendelea kuwepo hapo klabuni


Zidane ni kocha wa mentality, na wachezaji wakishuka morali matokeo ndio haya. Technically Zidane anabahatisha tu, we si unaona hata rotation zake, yaani kama Shehe Yahaya tu.
 
Kwa hiyo kwa mara ya kwanza kuna uwezekano wa sisi kucheza game za ulaya za alhamisi
 
Sevilla wanatupigia mpira hatuonani, yaani hii game tukitoka point 3, dah!
 
Back
Top Bottom