pierre tall
JF-Expert Member
- Nov 5, 2013
- 4,245
- 3,728
Kwan hapo golini yupo Navas au shati letu kiko?...
Kwan hapo golini yupo Navas au shati letu kiko?...
Kudadeq....sijui lini tutarudi katika ari yetu ya ushindi....Kiko Casilla.
Noo, team inajitahid japokuwa mambo hayatuendei poa,ishu ni kwamba tunakosa attacking power kutokana na Isco kushuka sana, nilitegemea Modric na Toni ndio wapandishe mpira then yeye ndio apokee hayo mashamblizi kwa kuwawekea foward wetu pass za mwisho,. sasa unafikiria kama anayetakiwa kutoa pass ya mwisho amebaki nyuma hayo magoli tutayafunga Vp?Madrid leo wanacheza upumbavu yaan timu haina strategy na mbinu ngani itumie ku attack , wapo wapo tyu na tia maji zao na tunafungwa hii game.
Tall, kijana wako Nacho ameduwaa tena karibia atuletee shida man.Kudadeq....sijui lini tutarudi katika ari yetu ya ushindi....
Hii free fall ya MadridWakuu mnacheza kama wabibi.
Madrid are in free fall mode,Zidane should watch his back-sasa hivi atakuwa historyWakuu mnacheza kama wabibi.
Tutarudi tu very soon, hata hapa ni kwamba mambo yamegoma tu ila unaona kabisa dhamira za vijana wetu, kuwa wanataka ushindi.Kudadeq....sijui lini tutarudi katika ari yetu ya ushindi....
Noo, team inajitahid japokuwa mambo hayatuendei poa,ishu ni kwamba tunakosa attacking power kutokana na Isco kushuka sana, nilitegemea Modric na Toni ndio wapandishe mpira then yeye ndio apokee hayo mashamblizi kwa kuwawekea foward wetu pass za mwisho,. sasa unafikiria kama anayetakiwa kutoa pass ya mwisho amebaki nyuma hayo magoli tutayafunga Vp?
So Zidane ana kazi ya kufanya kuweka hii ishu Poa, plus matatizo ya back line yetu.
The goal was offside, and we are bit unlucky not to score. All we need is just Marcelo and Isco to deliver more.
Going down in flames!!!!!!Hii free fall ya Madrid
Madrid are in free fall mode,Zidane should watch his back-sasa hivi atakuwa history