Salamander
JF-Expert Member
- Dec 7, 2012
- 28,536
- 15,751
- Thread starter
- #17,121
Asensio's GREAT GOAL against Celta. The guy is getting better and better...
Mkuu,Ahhhh there is no luck in struggling effort,the hat-trick he scored cr7 wasnt aluck naomba ufute hiyo lugha mwana wane,matumizi ya BAHATI na JUHUDI naona ni tatizo kwako mkuu,we get through wasnt an easy task like you think inspite away tulifungwa
Habari njema hiiReal Madrid and Cristiano Ronaldo are negotiating a contract extension until 2021 possibly. [El Confidencial]
![]()
Mkuu,
Huyo ndugu yangu Paulo Sergio De Souza ukimwambia kuhusu Ronaldo kwake ni kama tusi haamini kama anaweza kufanya maajabu, sijui hata kwanini anamchukia kiasi hicho!
Niliwahi sema hapo nyuma Ronaldo anakufunga muda wowote na wale yale matokeo na Wolfsburg wala hayakuwa ni ya kushangaza sana hasa ukiwa na mtu wa caliber ya Cristiano Ronaldo...
Msimu ukiisha huyu jamaa apewe mlango wakutokeaDanilo katoa boko...
Msimu ukiisha huyu jamaa apewe mlango wakutokea