Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Man City are playing against Benitez's Newcastle.....They just scored from an offside goal.

13015685_10154129448199932_2298725808265477966_n.jpg
 
Wakuu nilikuwa naangalia game ya New Castle vs Man City. Wamedroo goli 1-1. Yaani kwa game Ile Real Madrid wanatakiwa wafocus Tu basi wanaingia kwenye Champion league final.
Ukiitazama Man City imefika hapo kwa kubahatisha tu, hivyo fainali tushaingia shaka ondoa.
 
Wolfsburg kidogo watuaibishe. Bahati pia imechangia sisi kufika hapo. Usisahau hilo.
Ahhhh there is no luck in struggling effort,the hat-trick he scored cr7 wasnt aluck naomba ufute hiyo lugha mwana wane,matumizi ya BAHATI na JUHUDI naona ni tatizo kwako mkuu,we get through wasnt an easy task like you think inspite away tulifungwa
 
Washabiki wengi wa Madrid humu bhana ni waropokaji sio critical thinkers..... Sasa Benzema aondoke MTU amecheza game 23 ametia goli 22 nani aje azibe pengo .... Tupe options na tupe statistics na status sio kuongea uonekane umeongea.....eti Ronaldo aondoke sawa ... Aje nani? Kroos aondoke unajua contribution yake pale real Madrid? Acheni bhana Kama hamuwez kaeni kimya
 
Wolfsburg kidogo watuaibishe. Bahati pia imechangia sisi kufika hapo. Usisahau hilo.
Ahhhh there is no luck in struggling effort,the hat-trick he scored cr7 wasnt aluck naomba ufute hiyo lugha mwana wane,matumizi ya BAHATI na JUHUDI naona ni tatizo kwako mkuu,we get through wasnt an easy task like you think inspite away tulifungwa
 
Ahhhh there is no luck in struggling effort,the hat-trick he scored cr7 wasnt aluck naomba ufute hiyo lugha mwana wane,matumizi ya BAHATI na JUHUDI naona ni tatizo kwako mkuu,we get through wasnt an easy task like you think inspite away tulifungwa

Bahati ilihusika sana. Baadhi ya magoli tuliyofunga, kama sio yote, ni ya kizembe. Jamaal pia walikosa nafasi kadhaa, ambazo on their night, wangezitumia. Juhudi zilikuwepo yeah, na bahati pia.
 
Uko serious hao wote hawahitajiki? Hapana si kweli hii labda Benzema anaweza kwenda na Kane anamudu kuziba lakini Bale na Kroos wanahitajika sana.

Kane sio aina ya mchezaji wa Madrid. Lewy au Morata hapa.

Bale inconsistent and injury prone.

Kroos kashuka kiwango, + zimekuwepo tetesi kuwa mwenyewe anataka kubadili upepo msimu ujao. Verratti angekuja hapa.
 
Real Madrid Basketball are eliminated from the Euro League after losing 63 - 75 to Fenerbahce. Hard Luck to an amazing team! #HalaMadrid

Satellite
 

Spanish La Liga | FIXTURES - MatchDay 34 (All times CET )


Wednesday 20 April 2016:
Deportivo de La Coruna v Barcelona (Estadio Riazor) - 20:00
Valencia CF v Eibar (Mestalla) - 20:45
Athletic Club v Atletico de Madrid (San Mames) - 20:45
Sporting de Gijon v Sevilla (El Molinon) - 20:45
Malaga v Rayo Vallecano (La Rosaleda) - 20:45
Real Madrid v Villarreal (Santiago Bernabéu) - 22:00

Thursday 21 April 2016:
Real Sociedad v Getafe (Anoeta) - 20:30
Granada CF v Levante (Los Carmenes) - 21:00


Friday 22 April 2016:
Las Palmas v Espanyol (Gran Canaria) - 21:00
 
Kane sio aina ya mchezaji wa Madrid. Lewy au Morata hapa.

Bale inconsistent and injury prone.

Kroos kashuka kiwango, + zimekuwepo tetesi kuwa mwenyewe anataka kubadili upepo msimu ujao. Verratti angekuja hapa.
Sawa, Morata anaweza kuja ila akawa anaingia kutokea benchi. Bale anatakiwa apewe muda apone kabisa siyo kama sasa anacheza kwa kulazimisha. Lewa yuko vizuri tatizo kunaweza kutokea vita baridi na Cr7,kwani sasa naona kuna furaha na amani ndani ya BBC.
 
Bahati ilihusika sana. Baadhi ya magoli tuliyofunga, kama sio yote, ni ya kizembe. Jamaal pia walikosa nafasi kadhaa, ambazo on their night, wangezitumia. Juhudi zilikuwepo yeah, na bahati pia.
Wao walikosa kadhaa nasi tulikosa kadhaa ukiondoa hatrick ya Cr7 hivyo tuliwaondoa kiuhakika sana mkuu.
 
Sawa, Morata anaweza kuja ila akawa anaingia kutokea benchi. Bale anatakiwa apewe muda apone kabisa siyo kama sasa anacheza kwa kulazimisha. Lewa yuko vizuri tatizo kunaweza kutokea vita baridi na Cr7,kwani sasa naona kuna furaha na amani ndani ya BBC.

Morata atokee bench? dah!

Wameshaondoka players who used to fed Cristiano (Di Maria, and Ozil), wakaja wengine wapya, na hakukutokea drama yoyote.

Bale kupewa muda wa kupona vizuri, maana yake ni astaafu tu.

BBC ndio udhaifu wa Real Madrid. Cristiano is all about personal glory. Bale too inconsistent and injury prone. Benzema also too inconsistent, and often in trouble. The trio is not reliable anymore.
 
Back
Top Bottom