Salamander
JF-Expert Member
- Dec 7, 2012
- 28,536
- 15,751
- Thread starter
- #15,681
Kwa upande wangu, nitaomba hili jambo litokee, tuna vijana wetu wenye uwezo mzuri tu, huku Morata anatuumiza kichwa, Borja na yeye anakuja, bado Mariano..,afadhali akabaki huko huko..
Tunatakiwa kutoa pesa kununua left back tu, kwanza hii ni baada ya yule kijana wa Kibrazil kupata majeruhi mara kwa mara, hizo sehemu nyingine tuangalie jinsi ya kuchomeka vijana wetu.
Lewandowski mwenyewe umri umeshaenda, wakati Real Madrid haina historia ya kusajili vikongwe. Sijui takuwaje kwa kweli