Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Kwa upande wangu, nitaomba hili jambo litokee, tuna vijana wetu wenye uwezo mzuri tu, huku Morata anatuumiza kichwa, Borja na yeye anakuja, bado Mariano..,afadhali akabaki huko huko..
Tunatakiwa kutoa pesa kununua left back tu, kwanza hii ni baada ya yule kijana wa Kibrazil kupata majeruhi mara kwa mara, hizo sehemu nyingine tuangalie jinsi ya kuchomeka vijana wetu.


Lewandowski mwenyewe umri umeshaenda, wakati Real Madrid haina historia ya kusajili vikongwe. Sijui takuwaje kwa kweli
 
LEGEND visited the Real Madrid City

12932753_1189148591109899_9191940000306985696_n.jpg


12923214_1189147787776646_6575528575308047602_n.jpg


12931185_1189149267776498_3106412544969044716_n.jpg

12919820_1189146704443421_1463446417484483650_n.jpg


12891579_1189148231109935_7959563959024489522_o.jpg


 

Zinedine Zidane will reportedly field a previously unused starting XI in the upcoming El Clasico match with Barcelona at the Camp Nou.


12920378_1189107241114034_6258378679641167862_n.jpg
 
Many people sugest playing Pepe ahead of Varane in El Clasico will cost us big time in Clasico.

Hope Zidane goes with the frenchmen!
 
LEGEND visited the Real Madrid City

12932753_1189148591109899_9191940000306985696_n.jpg


12923214_1189147787776646_6575528575308047602_n.jpg


12931185_1189149267776498_3106412544969044716_n.jpg

12919820_1189146704443421_1463446417484483650_n.jpg


12891579_1189148231109935_7959563959024489522_o.jpg


Am not crying

Ila picha kama hizi huwa zinanifanya nimchukie sana Mourihno

Guti na Raul ni watu nilikuwa nikiwapenda sana japo Guti alitukosti sana na kadi zake za mara kwa mara ila mapenzi yake kwa timu hayana mfaano....the pass master himself Guti hernandez
 
Am not crying

Ila picha kama hizi huwa zinanifanya nimchukie sana Mourihno

Guti na Raul ni watu nilikuwa nikiwapenda sana japo Guti alitukosti sana na kadi zake za mara kwa mara ila mapenzi yake kwa timu hayana mfaano....the pass master himself Guti hernandez
Unapaswa kumchukia Perez yeye ndiyo alimleta Mourinho
 
Rumour:

Cristiano Ronaldo has dropped a huge hint about his future in Madrid by putting his house up for sale.

CR7's villa with 7 bedrooms, 9 bathrooms, a guesthouse, elevator, movie theater, gym and multiple pools is on the market.

And there's more. Not only is Ronaldo's crib, worth an estimated $5.7 million available. The Portuguese talisman has decided to sell his mother's Madrid villa, too. [Source OKDiario]


10649840_236898866664188_965603838842211565_n.jpg
 
Rumour Mill:

This is rumoured to be Real Madrid's goalkeeper jersey next season 2016/2017 [Source Footy Headlines]

12920399_236405383380203_6866497050461576533_n.jpg
 
Rumour Mill:

Carlo Ancelotti wants to bring 33 year old Real Madrid defender Pepe to Bayern Munich.

It is reported that the Bavarians are willing to pay €10m, [Source OK Diario]

12919891_236909593329782_4729661300273530622_n.jpg
 
Rumour Mill:

Carlo Ancelotti wants to bring 33 year old Real Madrid defender Pepe to Bayern Munich.

It is reported that the Bavarians are willing to pay €10m, [Source OK Diario]

12919891_236909593329782_4729661300273530622_n.jpg
Buyern sio vichaa mbka walipe kiasi chote icho kwa babu pepe
 
According to recent poll by (AS), Real Madrid fans thinks that this should be Madrid's starting XI against Barcelona.

12932979_1190061667685258_4890560240933732000_n.jpg
 
Back
Top Bottom