pierre tall
JF-Expert Member
- Nov 5, 2013
- 4,246
- 3,735
Ukiangalia comments zangu kipindi kile hatujacheza na juve 2nd leg nlisema kama carlo ana akili basi atubadilishie aina ya uchezaji,juve ukisema uwafunge kutumia wingers lazima utachemka tu,maana kwa kucheza mipira ya cross wako vizuri sana na beki zao ni ndefu...nlitabiri kuwa barca watatumia viungo wao wa kati kumaliza game kiulaini kabisa,kwa sababu juve katikati kupenyeza mipira siyo wazuri hata kidogo..ila sasa yule muitaly alikariri nafikiri akawapa ujiko juve kiulaini kabisa..pumbavu zake sana...Acha tu, unafiki pembeni hii game nimeshindwa kuendelea kuiangalia. Barça wanatufundisha namna ya kucheza na Juve and it's painful to watch.