Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Haha hii michezo ilileta drama sana Twitter last season kwenye issue ya Falcao. Watu walijaribu kwa nguvu zao zote kuunga dots, Carlo akachomoa mwishoni, tukaletewa Chicharito.

Hiki ndio kipindi cha drama hiki, hata hivyo sijui kama Pogba atakuja Bernabeu.
 
Jorge Mendes C.F. hivi wamefika wangapi mpaka saivi?

Yule anaitwa the super Mendez, kuna lundo la players liko nyuma yake. Yaani kibongo bongo unasema yule ni mtoto wa town manaake anajua kupiga deal kinoma, kwenye biashara ya kuuza wachezaji ashaingiza more than 1 billion paund. Wanasema saa zote yuko na 4 mobile phones ambazo ziko on. Halafu ni fluent in English, Spanish, French, Italian na lugha nyingine anaombea maji. Yaani achana nae
 

as | Rafa Benítez has told Florentino Perez that he would like to bring Álvaro Morata back to Real Madrid.


-Perez allowed the striker to move to Juventus for 22 million euros last summer and to bring him back to the Bernabéu would cost €30 million.


-To sign Morata next summer would cost Madrid €35 million. If the repurchase clause is activated, Madrid and the player have agreed a contract for five years with a salary of more than the €2.5m salary the player currently receives in Turin.
 
Yule anaitwa the super Mendez, kuna lundo la players liko nyuma yake. Yaani kibongo bongo unasema yule ni mtoto wa town manaake anajua kupiga deal kinoma, kwenye biashara ya kuuza wachezaji ashaingiza more than 1 billion paund. Wanasema saa zote yuko na 4 mobile phones ambazo ziko on. Halafu ni fluent in English, Spanish, French, Italian na lugha nyingine anaombea maji. Yaani achana nae

Huyu Jamaa ndio alichangja bifu ya Iker na Mourinho. Mou alitaka Jamaa akiwa ana-visit vijana wake Valdebebas eti wengine waache wanachofanya waonyeshe ushirikiano, Iker akamwaambia vete a la chingada, not at Real Madrid Mister. That's my Captain.
 
Huyu Jamaa ndio alichangja bifu ya Iker na Mourinho. Mou alitaka Jamaa akiwa ana-visit vijana wake Valdebebas eti wengine waache wanachofanya waonyeshe ushirikiano, Iker akamwaambia vete a la chingada, not at Real Madrid Mister. That's my Captain.

Iker anatoka Móstoles, Madrid. Ni real castellano sio wa kuungaunga. Nawajua wale watu ni viburi mpaka mademu zao usiwaletee za kuleta wanakutoa nishai hapo hapo.
 

AS | Asensio and Ødegaard set for summer loan moves


-Benítez wants these talented pair, signed in the winter transfer window, to get plenty of first-team minutes and knows they cannot be guaranteed at Madrid.
 

Marca | Javier Hernández would love to continue with the Whites, but only if he's in Rafa Benítez's plans.


-Chicharito: "Real Madrid had a deadline by which to buy and they let it pass. Right now, they are like any other club and today I'm a Manchester United player. That's the true reality".


In short he wants more minutes ...
 

Rafa Nadal is invited to Real Madrid vs Liverpool legends match on 14th June.


Kick Off time: 5:30 pm (CET)
 

Karim Benzema is well aware that many top European clubs are keen on signing him but he is not interested in listening to the offers for one minute.


He is keen to again prove that he is the owner of the No.9 shirt to Rafa Benítez. [MARCA]
 

AS | Benitez´s interest in Morata clashes with Florentino's desire for Kun Agüero.
 

From Manchester to Madrid. Source [Goal.com]


11430183_1014329048591855_2766288877246039671_n.png






 

GOAL | De Gea tells Manchester United: I want to join
Real Madrid
 

As | Rafa Benitez want to loan out Martin Ødegaard this upcoming season.


According to Carlos Forjanes of AS, Villarreal, Malaga and Real Betis are all potential destinations for the much-lauded Norwegian.

11214052_1014438108580949_2892233952464821824_n.jpg
 

ABC | De Gea will be a starter if he joins Real Madrid, Casillas or Navas will leave.
 

Pique (last night): "Thank you Kevin Roldn (singer who leaked Cristiano's party pics). It all started with you".
 

Dani Carvajal: "I don't find Piqué's words offensive."


- "I congratulate Barcelona for this season's results."
 

Danilo injured his right ankle vs Mexico last night and apparently might miss the Copa America.
 

Marca | Iker Casillas, Isco Alarcón and Sergio Ramos arrived at the Spain camp in Las Rozas and refused to talk to the media about Gerard Piqué's controversial celebration.
 

Marca | Iker Casillas, Isco Alarcón and Sergio Ramos arrived at the Spain camp in Las Rozas and refused to talk to the media about Gerard Piqué's controversial celebration.

Carvajal's reaction: "I don't find his words
offensive. I congratulate Barcelona for their
season"

Madridismo is simply classy.
 
Back
Top Bottom