Salamander
JF-Expert Member
- Dec 7, 2012
- 28,536
- 15,751
- Thread starter
- #8,121
Haha hii michezo ilileta drama sana Twitter last season kwenye issue ya Falcao. Watu walijaribu kwa nguvu zao zote kuunga dots, Carlo akachomoa mwishoni, tukaletewa Chicharito.
Hiki ndio kipindi cha drama hiki, hata hivyo sijui kama Pogba atakuja Bernabeu.