IamMrLiverpool
JF-Expert Member
- Apr 27, 2014
- 4,835
- 7,385
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 Waambieni haoMakocha wa laliga wametumia mechi mbili tu kumsoma babu murinyo
sasa nyiandaeni kupokea dozi kila weekend
kenge weupe nyie😬
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 Waambieni haoMakocha wa laliga wametumia mechi mbili tu kumsoma babu murinyo
sasa nyiandaeni kupokea dozi kila weekend
kenge weupe nyie😬
Huu ni utapeli mkubwa sana mliofanyiwaGoli la Espi sijaridhika na maamuzi ya refa kuwa ni offside.
Sijajua kwanini hakutaka kwenda kujiridhisha kwenye VAR.
Hii sababu unaitoa wewe lakini kocha wako hajui kwanini mmefungwa.Sio bahati
Kinda la miaka 19!Huu ni utapeli mkubwa sana mliofanyiwa
View attachment 3663663
Nafikiri ni ile touch yake ya awali before mpira uende kwa Vin ndio alikuwa offside.Goli la Espi sijaridhika na maamuzi ya refa kuwa ni offside.
Sijajua kwanini hakutaka kwenda kujiridhisha kwenye VAR.
Mkuu Madrid walikufanya nini?🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 Yani nimefurahi sana kenge nyie uchukue ubingwa beki Konate winga diomande na finishazi Jr. Yaone kwanza. Nawachukia mno yaani akitoka shetani na ccm mnafata nyie kwa kuwachukia kenge wakubwa nyie
Tunaongoza 5 0Game ya barcelona imeisha vp wakuuu
Mpira anajua huyo jamaa shida nini?