Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Leo ni ile tumekosa bahati,however...kila palipo na jambo kuna chakujifunza haswa kuendelea kuwa na njaa ya matokeo kwa timu ambazo huwa zinacheza man to man kama hizi nakuwa na njia ngumu nyuma.
Real Betis wana ukuta mgumu sana.

Ukiwafikia kwenye zone yao wanafanya pressing ya juu wanahakikisha pasi yako ili isipotee basi irudishe nyuma.
 
Atengeneze tu mkeka mwingine aachane na lawama
Hahahaha....
HObnnecWkAA4epA.jpg
 
Espi alikuwa amezidi kwenye action ya nyuma na akaja kunufaika na mpira wa cross kutoka upande ule ule

Ile offside ya Espi ilishakufa ule muda mpira uliporudi nyuma na huo muda alikuwa ametoka kwenye hilo eneo la offside ameingia ndani katikati kabisa.

Movement ya goli hadi pasi inatoka kwa Vini hakukuwa na offside.
 
Ile offside ya Espi ilishakufa ule muda mpira uliporudi nyuma na huo muda alikuwa ametoka kwenye hilo eneo la offside ameingia ndani katikati kabisa.

Movement ya goli hadi pasi inatoka kwa Vini hakukuwa na offside.
Mawakala wameshalala huko? Usikate tamaa nyanyuka tena mkamalia uweke stake iliyonona. Acha blaming
 
Ile offside ya Espi ilishakufa ule muda mpira uliporudi nyuma na huo muda alikuwa ametoka kwenye hilo eneo la offside ameingia ndani katikati kabisa.

Movement ya goli hadi pasi inatoka kwa Vini hakukuwa na offside.
Nadhani mtego wa kuotea unavunjwa na rebound au touch ya mchezaji wa upinzani......
 
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 Yamepigwaaaaaaaaa beki Konate halafu unataka ubebe ubingwa hivi nyie huwa mna akili timamu kweli au hamnazo 🤣🤣🤣🤣
Nawachukia sana yaani akitoka shetani na ccm mnafata nyie kwa kuwachukia kenge wakubwa nyie na bado
 
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 Yani nimefurahi sana kenge nyie uchukue ubingwa beki Konate winga diomande na finishazi Jr. Yaone kwanza. Nawachukia mno yaani akitoka shetani na ccm mnafata nyie kwa kuwachukia kenge wakubwa nyie
 
Back
Top Bottom