Ni jukumu la kocha kujua mchezaji wake anafit vizuri kwenye nafasi ipi kulingana na aina ya uchezaji wake ili aweze kuwa na faida zaidi.
tatizo linaanzia kuwa timu zinapangwa kisiasa zaidi, Alonso alitaka aende na Arda NO 10 akashindwa
Ni jukumu la kocha kujua mchezaji wake anafit vizuri kwenye nafasi ipi kulingana na aina ya uchezaji wake ili aweze kuwa na faida zaidi.
Hilo ni tatizo sugu karibia timu zote, ngoja tuone kwenye utawala wa JM itakuwaje.tatizo linaanzia kuwa timu zinapangwa kisiasa zaidi, Alonso alitaka aende na Arda NO 10 akashindwa
Ukipigwa ban sisi tunapata faida Gani?Morinho akifika Christmas nipigwe ban mwezi mmoja jf😁
Hizi sajili za suprise attack.Official Statement: Carlos Espí
Real Madrid CF and Levante UD have agreed to the transfer of player Carlos Espí, who will be linked to our club for the next five seasons, until June 30, 2031.
At 21 years old, Carlos Espí has played three seasons at Levante, in which he has played 66 games and scored 20 goals
Msimu wetu huu.Hii kamati ikitoka patupu Sijui Perez na mou wake itakuaje.
NaamMsimu wetu huu.
Nimeona hiyo taarifa pia, Mourinho ndio zake, kama kipindi kile alivyomtumia Essien kama beki wa kulia.Taarifa zinasema kwamba Mourinho alimtumia Trent kama CMF kwenye mechi na Fiorentina.
Taarifa zinasema kwamba Mourinho alimtumia Trent kama CMF kwenye mechi na Fiorentina.
Nimeona hiyo taarifa pia, Mourinho ndio zake, kama kipindi kile alivyomtumia Essien kama beki wa kulia.
Yaani yeye anachukulia zile pasi za kumwaga maji anazopiga akiwa free kule winga ya kulia basi anaweza kuzipiga akiwa Katikati!!huyo jamaa hawezi cheza hiyo position
Yaani yeye anachukulia zile pasi za kumwaga maji anazopiga akiwa free kule winga ya kulia basi anaweza kuzipiga akiwa Katikati!!
Anajidanganya, Jamaa kwanza pancha nyingi hawezi mambo ya kugongana kugonbea mpira Sasa atawezaje vita hapo kati kati!?
Ni test tu ikitokea ameonyesha kile kitu ambacho anakihitaji na kinafaida anaweza mpa hiyo nafasi.huyo jamaa hawezi cheza hiyo position
Ukiwa kocha moja ya jambo la muhimu ni kujiamini kimaamuzi na kumuamini mchezaji. Ikitokea Trent akafanya kile kinachohitajika hapo kati basi ataonekana eneo hilo mara kwa mara na asipokifanya basi hatopewa nafasi hapo kati.Yaani yeye anachukulia zile pasi za kumwaga maji anazopiga akiwa free kule winga ya kulia basi anaweza kuzipiga akiwa Katikati!!
Anajidanganya, Jamaa kwanza pancha nyingi hawezi mambo ya kugongana kugonbea mpira Sasa atawezaje vita hapo kati kati!?
Sawa sawaUkiwa kocha moja ya jambo la muhimu ni kujiamini kimaamuzi na kumuamini mchezaji. Ikitokea Trent akafanya kile kinachohitajika hapo kati basi ataonekana eneo hilo mara kwa mara na asipokifanya basi hatopewa nafasi hapo kati.