Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Amini maneno yangu, hii timu ndio tunaenda nayo msimu ujao. Au umemsahau Perez? Anunui wachezaji yule, mimi nipo hapa
Kuna Carvajal kuondoka...maana yake kile kizazi chetu cha dhahabu kimeisha chote,sasa Mou aje atutengenezee timu ya ushindani haswa...hawa hawa waliopo ni kuwa wanakosa mtu mkaksi mwenye kauli ya mwisho,timu kama ukoo wa kambale bhana hadi watu wanapigana aisee.
 
Jana tumemaliza ligi kwa ushindi wa 4-2 dhidi ya bilbao.

Bwana mdogo pitach akiwa Kenya kiwanis kizuri alitoa Assist mbili.

Wakati naangalia hii game na vile tunacheza kuna kite niliwaza.

Eneo la mbelee tunahitaji marekebisho kidogo tu, inategemeana na style ya kocha anaekuja.

Kwanini jude asicheze pale juu kama false 9, kushoto Vinicius au mbappe na huku kulia acheze winga anaetumia mguu wa kushoto vyema na mwenyekesi sawa na Vinicius au mbappe.

Hapo kstikati ndio panahitaji marekebisho makubwa, ikiwemo Nico Pazi kurudi, Arte Guller kusimamiwa vizuri na hawa kina pitarch kua kama backup endapo akiwa na mwendelezo mzuri.
 
Jana tumemaliza ligi kwa ushindi wa 4-2 dhidi ya bilbao.

Bwana mdogo pitach akiwa Kenya kiwanis kizuri alitoa Assist mbili.

Wakati naangalia hii game na vile tunacheza kuna kite niliwaza.

Eneo la mbelee tunahitaji marekebisho kidogo tu, inategemeana na style ya kocha anaekuja.

Kwanini jude asicheze pale juu kama false 9, kushoto Vinicius au mbappe na huku kulia acheze winga anaetumia mguu wa kushoto vyema na mwenyekesi sawa na Vinicius au mbappe.

Hspo kstikati ndio panahitaji marekebisho makubwa, ikiwemo Nico Pazi kurudi.
Hatuhitaji marekebisho yoyote.

Timu imekamilika.

Kushoto Rodrygo anatosha.

Camavinga na Brahim wanatosha midfielder.
 
Dani Carvajal kaaga Real Madrid. Ukiangalia 30 minutes ya farewell yote kama wewe ni kweli Madridista lazima kutakuwa emotion flani hivi itakugusa. Football ni entertainment lakini ukiifuatilia sana inakuwa part of your life. Goodbye Dani. Gracias por todos. Que Dios te bendiga. Hala Madrid
 
Leo Wanachama wa Real Madrid wanapiga kura kumchagua Rais wa Club na management yake, wagombea ni wawili tu, Perez ja Riquelme, baadae kidogo tutapa matokeo ya huu uchaguzi, hapo tutajua tunayeenda nae miaka 4 ijayo.
 
1000139313.jpg
 
Back
Top Bottom