Kuna Carvajal kuondoka...maana yake kile kizazi chetu cha dhahabu kimeisha chote,sasa Mou aje atutengenezee timu ya ushindani haswa...hawa hawa waliopo ni kuwa wanakosa mtu mkaksi mwenye kauli ya mwisho,timu kama ukoo wa kambale bhana hadi watu wanapigana aisee.Amini maneno yangu, hii timu ndio tunaenda nayo msimu ujao. Au umemsahau Perez? Anunui wachezaji yule, mimi nipo hapa
Hatuhitaji marekebisho yoyote.Jana tumemaliza ligi kwa ushindi wa 4-2 dhidi ya bilbao.
Bwana mdogo pitach akiwa Kenya kiwanis kizuri alitoa Assist mbili.
Wakati naangalia hii game na vile tunacheza kuna kite niliwaza.
Eneo la mbelee tunahitaji marekebisho kidogo tu, inategemeana na style ya kocha anaekuja.
Kwanini jude asicheze pale juu kama false 9, kushoto Vinicius au mbappe na huku kulia acheze winga anaetumia mguu wa kushoto vyema na mwenyekesi sawa na Vinicius au mbappe.
Hspo kstikati ndio panahitaji marekebisho makubwa, ikiwemo Nico Pazi kurudi.
Kama tunataka kuishia mtoano uefa na mshindi wa pill la liga basi kweli Camavinga na Brahim wanatoshaHatuhitaji marekebisho yoyote.
Timu imekamilika.
Kushoto Rodrygo anatosha.
Camavinga na Brahim wanatosha midfielder.
Uefa ya mwisho kuchukua iilinunuliwa kwa hela gani?Timu la kununua makombe uefa pesa zimeishia kwenye kujenga uwanja mbwa nyie😤😤
hii timu imejaa washabiki wapumbavu sana
Babu acjipake Gundi kitini mana anaonekana kama Vendetta.Leo Wanachama wa Real Madrid wanapiga kura kumchagua Rais wa Club na management yake, wagombea ni wawili tu, Perez ja Riquelme, baadae kidogo tutapa matokeo ya huu uchaguzi, hapo tutajua tunayeenda nae miaka 4 ijayo.
Babu acjipake Gundi kitini mana anaonekana kama Vendetta.
Bado bado Mzee, ila muda sio mrefu tutaanzq kupata mnyepesi nyepesi za matokeoMatokeo ya uchaguzi vipi huko?au bado hayajatoka?
Matokeo ya uchaguzi vipi huko?au bado hayajatoka?
Ok...thanks kwa taarifa hii.Bado, inabidi msubirie kidogo kwasababu uchaguzi haupo kwenye kikao. Wameweka kituo cha kupigia kura Arena ya Real Madrid basketball kule. Kituo kitafungwa saa 2 kwa Bongo itakuwa saa 3 usiku.