Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Kuna muda inabidi uangalie ili ujue team yako jinsi ilivyo man, tucheck tu game Jomba.
Bora makosa yafanyike eneo la ushambuliaji unaweza usishinde mechi lakini ukiwa na defense nzuri maana yake huwezi kufungwa kizembe.

Kuna makosa mengi yanafanyika ya wachezaji wenyewe kukosa mawasiliano na kujikuta mipira wanaishia kupasia wapinzani tena makosa haya yanafanyika kwenye half yetu.
 
kimsingi tumezidiwa kimbinu na kiuwezo,plus ukishakuwa na wachezaji wazito uwanjan sasa ndio balaa...Ansensio ni kama anatalii humo ndani,haonekani yupo wapi na anafanya nini?yeye na Rudiger ni kama wana ugomvi..hakuna anayemtuma mwenzake,upande wa Garcia ndio kama kiberenge,mbio nyingi ila ni uchochoro...hapo kati unapokuwa na hawa watu watatu (Tchou,Cama na Bell) kwa pamoja lazima timu iwe slow katika kushambulia na kukaba..hapa nikuomba tu tusifungwe 5 ila zinaongezeka.
 
Bora makosa yafanyike eneo la ushambuliaji unaweza usishinde mechi lakini ukiwa na defense nzuri maana yake huwezi kufungwa kizembe.

Kuna makosa mengi yanafanyika ya wachezaji wenyewe kukosa mawasiliano na kujikuta mipira wanaishia kupasia wapinzani tena makosa haya yanafanyika kwenye half yetu.
Mzee kilichotufanya tuwe hapa ni makosa kuanzia kwenye kiungo, kuanzia msimu unaanza hatujawahi kurekebishika, haya ndio matokeo yake, kiufupi, Alonso hakuweza kutengeneza team ya ushindani, na Arbeloa hajaweza kurekebisha hilo maana hata hao wachezaji hatuna.
 
Kutufunga mtufunge na dole la kati mtuoneshee kweli?

Hawa ndio mashabiki ambao Vini akifunga anaenda kuwakatikia viuno kwasababu kweli wanaboa
1778445473182.png
 
Dakika 45 za kipindi cha pili hakuna dakika za nyongeza zilizowekwa

Maana yake Refa anatuaminisha kuwa hakuna muda uliopotezwa licha ya incidents kadhaa ambazo zilikuwa na mvutano wa wachezaji.

Sisemi kama dakika zingeongezwa zingesaidia kusawazisha magoli ila kigezo kilichotumika hapa ndio sijajua.
 
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

Kenge wakubwa nyie yamepigwaaaaaaaaa
Yamekosa ubingwaaaaaaaaaaaaa

Nawachukia sana yaani akitoka shetani na ccm mnafata nyie kwa kuwachukia
 
Nilivyokuwa delusional nilifikiri hii timu ingetingisha Europe, lakini ni timu mbovu kuwahi kutokea tangu ile Galactico ya kina Figo na Beckham. Real Madrid ilikuwa inakera mpaka alivyokuja Mourinho na defensive idea. Hii timu inacheza bora liende tu, inahita coach mwenye njaa ya ushindi sio kubahatisha
 
Nilivyokuwa delusional nilifikiri hii timu ingetingisha Europe, lakini ni timu mbovu kuwahi kutokea tangu ile Galactico ya kina Figo na Beckham. Real Madrid ilikuwa inakera mpaka alivyokuja Mourinho na defensive idea. Hii timu inacheza bora liende tu, inahita coach mwenye njaa ya ushindi sio kubahatisha
Team inavyocheza ni kama kila mtu anacheza kivyake, hakuna mipango yoyote, ndio maana nina-support idea ya kumpa Mourinho kazi ili atusafishie kwanza team kisha wapewe hawa akina Arbeloa kazi, bila nidhamu pale hatutoboi
 
Kenge nyie niliwaambia siku marefa wakiamua kuacha kuwa beba na kuwapa penati za mchongo lazima mpoteane 🤣🤣🤣🤣🤣

Beki Rudiger, Play maker Arder halafu eti uchukue ubingwa hivi nyie mna akili kweli au hamna??
Nawachukia mno yaani akitoka shetani na ccm mnafata nyie kwa kuwachukia kenge wakubwa nyie
 
Back
Top Bottom