Cesar Caspar
JF-Expert Member
- Jul 31, 2015
- 3,727
- 6,421
hatuna option Mzee, ndio tulionaoNasikia yameanza yale headless chicken wawili Tchou na Cama in the mid. Lazima iwe massacre.
hatuna option Mzee, ndio tulionaoNasikia yameanza yale headless chicken wawili Tchou na Cama in the mid. Lazima iwe massacre.
Bora makosa yafanyike eneo la ushambuliaji unaweza usishinde mechi lakini ukiwa na defense nzuri maana yake huwezi kufungwa kizembe.Kuna muda inabidi uangalie ili ujue team yako jinsi ilivyo man, tucheck tu game Jomba.
Mzee kilichotufanya tuwe hapa ni makosa kuanzia kwenye kiungo, kuanzia msimu unaanza hatujawahi kurekebishika, haya ndio matokeo yake, kiufupi, Alonso hakuweza kutengeneza team ya ushindani, na Arbeloa hajaweza kurekebisha hilo maana hata hao wachezaji hatuna.Bora makosa yafanyike eneo la ushambuliaji unaweza usishinde mechi lakini ukiwa na defense nzuri maana yake huwezi kufungwa kizembe.
Kuna makosa mengi yanafanyika ya wachezaji wenyewe kukosa mawasiliano na kujikuta mipira wanaishia kupasia wapinzani tena makosa haya yanafanyika kwenye half yetu.
Ni ana shida ya misuli ya pajaSasa mbappe Kwanini hajacheza
Team inavyocheza ni kama kila mtu anacheza kivyake, hakuna mipango yoyote, ndio maana nina-support idea ya kumpa Mourinho kazi ili atusafishie kwanza team kisha wapewe hawa akina Arbeloa kazi, bila nidhamu pale hatutoboiNilivyokuwa delusional nilifikiri hii timu ingetingisha Europe, lakini ni timu mbovu kuwahi kutokea tangu ile Galactico ya kina Figo na Beckham. Real Madrid ilikuwa inakera mpaka alivyokuja Mourinho na defensive idea. Hii timu inacheza bora liende tu, inahita coach mwenye njaa ya ushindi sio kubahatisha
Kama tukibaki na wachezaji hawa ni muhimu sana Mou aje.