verifaidi yuza
JF-Expert Member
- Sep 13, 2018
- 3,143
- 6,246
Wenetu timu yenu imekua ya wapiga masumbwi, ongezeni chata hii hapa kutoka ukengeni chama liwe kamili gadoView attachment 3585584
Barcelona nao wana kikosi kibovu tu naamini hii mechi tukikaza tunapata matokeo vizuri tuLeo siyo tutapigwa kama ngoma kwel wazee?
Watu wa mipango ndio hatuna tu Mzee,Barcelona nao wana kikosi kibovu tu naamini hii mechi tukikaza tunapata matokeo vizuri tu
Makosa mengi Madrid tunayafanya kwenye eneo la ulinziWatu wa mipango ndio hatuna tu Mzee,
Watu wanakaba kwa macho na hawawez kukaa na mpira.Kuna mipira tunapoteza kizembe basi tu
Asencio sikuwahi kumuelewa man, ndio maana hata ninaona huyo Jose aje tu, atusafishie team kisha tupate Coach wa kutupeleka mbele, maana wote wamekuwa sawa.Ukishaona beki ni Ansencio na Rudiger na kushoto ni Garcia ujue hapo ni maumivu tu
Sijui hata Alonso aliona nini kwa huyu Mtoto,yaani alimwachia Endrick akabaki na huyu Mtoto.Gonzalo kafanya usenge gani pale???
Kuna muda inabidi uangalie ili ujue team yako jinsi ilivyo man, tucheck tu game Jomba.Sidhani kama nitaimaliza hii game