Hizi tetesi za Mourinho kurudi sijui zitaishaje.
Binafsi Nina wasi wasi akipewa timu yule baba itabidi tuvumilie Tena miaka minne kupata Uefa.
vijana wanaojiita mashabiki wa Madrid wengi wao wanashabikia hii move, nilichogundua ni kuwa washabiki wengi wa football uwelewa wao wa game ni mdogo sana, wanapelekwa zaidi na mihemko na mahaba