Cesar Caspar
JF-Expert Member
- Jul 31, 2015
- 3,703
- 6,359
Valverde nusura atutangulize hapa, wakati huo huo Lunin na yeye ameokoa jahazi
Haya sasa leo tupo na wazee wakuuma meno,wazee wa bora wakose kombe ila siyo kufungwa na madrid.
Ververde angekua mnyumbulifu Kuna ingine ilikua apige goli akaweka ndani kulikua hakuna mtu.Valverde nusura atutangulize hapa, wakati huo huo Lunin na yeye ameokoa jahazi
Brahim ni mkali sana wa kutafuta penalty, ni kama alivyokuwa Lucas Vazquez, yaani wanakuwa na vimtego vidogo tu unajikuta unamgusa watu wanafunika tuta!!Hili tuta limetafutwa
Liko soft sana
Ile press uliyokuwa unasema imezaa matundaGoooooal....waleteeee