Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

HT: Tumecheza vzr kwa kutengeneza nafasi nyingi zakufunga,japokuwa tulikuwa na kitete hatukuweza kuzitumia vzr,ungekuta tuna goal kama 4 hv hadi wakat huu wa mapumziko,mathalani tungekuwa na Gonzalo hapo anajua kukwamisha mpira sana wavuni.

Huku nyuma leo Rudiger anaongoza kwa kukaba na macho,umakini unahitaji sana second half.
 
Arbeloa ninaona kwasasa amekunjua makucha, maana hii ni mara ya tatu anabadilisha mfumo wa kiuchezaji, leo Vini yupo kati kati zaidi pamoja na Valverde, hata namna tunavyotengeneza nafasi za kufunga tunapitia zaidi kati kati, ni hatua nzuri kama ataendelea hivi!
 
Back
Top Bottom