Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Ndani ya dakika 180 pep timu yake imefunga goli 1 na kuruhusu 5. Baba wa watu Kapigwa nje ndani na mtoto wa juzi.

Maisha yanaenda kasi sana, Leo hii Mzee wa modern Football nae kapitwa na wakati.

Alimnyasasa sana Zidane, sasa kakutana na damu changa atatubu.
 
Ndani ya dakika 180 pep timu yake imefunga goli 1 na kuruhusu 5. Baba wa watu Kapigwa nje ndani na mtoto wa juzi.

Maisha yanaenda kasi sana, Leo hii Mzee wa modern Football nae kapitwa na wakati.

Alimnyasasa sana Zidane, sasa kakutana na damu changa atatubu.

Ana bahati Fede na Vini hawakuwa makini kipindi cha kwanza, angepigwa aggregate 9-1
 
Ana bahati Fede na Vini hawakuwa makini kipindi cha kwanza, angepigwa aggregate 9-1
Arbeloa ameonyesha ukomavu mkubwa kwa kubadilisha mfumo mara ya tatu sasa.

Safari hii, amewavuta Vinícius na Valverde kucheza katikati zaidi kama "Central Engine". Hii iliwavuruga City ambao walizoea kukaba pembeni tu.

Badala ya krosi za kizamani, sasa Madrid wanacheza "Vertical Football"—pasi fupi na zenye sumu zinazopenya katikati ya mabeki.

Kwa kuiteka zone ya kati, Arbeloa aliwanyima City pumzi kwenye eneo hilo ambalo ndio muhimili wao mkuu.

Ni vile tu Vinícius jana hakutumia nafasi zote; kulikuwa na uwezekano wa Hat-trick na City wangepokea kipigo kizito zaidi kwa sababu kimbinu walikuwa wameshaachwa mbali.

Kama mabadiliko haya yataendelea na matumizi ya nafasi yakawa sahihi walau kwa 85%, basi Madrid itakuwa timu isiyotabirika na tishio zaidi barani Ulaya!
 
1774207624582.jpeg
 
Back
Top Bottom