PAGAN
JF-Expert Member
- Aug 19, 2014
- 13,247
- 22,126
Noma sana man, sijui alimchungulia aje, wale vijana wa Arbeloa wanajituma hatari, ni kwamba wanataka nafasi ama ni kawaida? Maana kila mahali uwanjani walikuwepo.
Wale watoto washajua mpira ndio maisha yao kwahiyo wakipewa nafasi lazima waitumie vizuri. Lakini safi sana Arbeloa kuwapa nafasi vijana