Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Screenshot_20260311-082742_Facebook.jpg
 
Akina Scars na pierre tall nendeni mkaokoe jahazi uko.

Kanunueni tiketi muujaze uwanja.
Mechi ngumu hii Mkuu halafu tumeandamwa na pancha za wachezaji wetu muhimu

Na kufuatia recently games tume underpeform, ni kama morale ya mashabiki iko chini.

Man City awamu hii kupitia changamoto yetu ya pancha, watacheza jihad kuhakikisha wanalipa kisasi cha mwaka jana.
 
Mechi ngumu hii Mkuu halafu tumeandamwa na pancha za wachezaji wetu muhimu

Na kufuatia recently games tume underpeform, ni kama morale ya mashabiki iko chini.

Man City awamu hii kupitia changamoto yetu ya pancha, watacheza jihad kuhakikisha wanalipa kisasi cha mwaka jana.
Hii mechi ya leo ili moyo usiume wala kupata hasira,nikutulia nakuangalia game huku ukijua leo tunapokea kipigo na tukishinda basi ni supprise kubwa kabisa...hii mechi hata kama mtu una usingizi mzito ni bora ulale tu😀😀😀...huu mwaka ni tunasindikiza watu kwenye mashindano.
 
Courtois ametoa assist hapa kwa Valverde, kwa muda mrefu tumekuwa tukitegeana kwenye wings, ila sie ndio tumefaulu jaribio la kwanza!!
VamooosReal!!
 
Hilo goli la 3 nimelipenda sana, kwanza assist kutoka kwa Brahim kisha mtu akavalishwa kofia kisha mkwajuuu., kazi nzuri sana kutoka kwa Valverde
 
Back
Top Bottom