Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Alonso hakua tatizo nadhani tuna anza kuelewana
Alonso hatuna mashaka nae juu ya uwezo wake, ila ni kwamba alishindwa tu ku-manage team, na hii ni tokea pre season, maana kule alishaona mapungufu ila akashindwa kuwaambia ma-boss zake, kwamba hapa tuna shida ya kiungo mshambuliaji ama kama sio mshambuliaji, basi kiungo mwenye uwezo wa kuunganisha team na kutengeneza nafasi, maana hapo ndipo tulipofeli kutokea mwanzo hata mpka sasa, hatuna mfumo sahihi wa kufanya build up na hata kutengeneza nafasi, game zote tume struggle kuanzia kwenye kiungo, imagine tuna viungo wa 4 na bado tunaishia kupiga back pass muda wote.
Tunahitaji kocha atayetambua haya matatizo na kuyafanyia kazi ili tuweze kushindana na wenzetu.,hebu fikiri kipindi kilichopita tulikuwa na viungo watatu na bado team ilikuwa vema sana!!
Kwa upande wa Ulinzi kiukweli tumekuwa tu na bahati mbaya na majeruhi, sikumbuki mara ya mwisho beki wetu wa kati kucheza game mfulilizo kama pair, so hata kutengeneza comb mara imeshindikana kutokana na ishu hiyo!!
 
Our line-up tonight

1000124671.jpg
 
Kuna huyo dogo Pinar juzi kajitahidi,hawa sasa ndio wanakuwa na uchungu na timu,asilimia kubwa waliopo hawana tena morali ya ushindi.
Dogo alikuwa anazunguka uwanja mzima!! Ni vile bado hana mwili wa kupambana kihivyo, ila kiukweli alijitahidi sana!! Hata wale wenzake walioingia pia walijitajidi, hata mpira uliosababisha goli ulianzia kwa yule dogo baada ya kufanya kumpokonya mpinzani mpira!
 
Dogo alikuwa anazunguka uwanja mzima!! Ni vile bado hana mwili wa kupambana kihivyo, ila kiukweli alijitahidi sana!! Hata wale wenzake walioingia pia walijitajidi, hata mpira uliosababisha goli ulianzia kwa yule dogo baada ya kufanya kumpokonya mpinzani mpira!
Sahihi kabisa...asipovimba kichwa,akapata muda zaidi wakucheza,akazingatia gym na mazoezi kwa ujumla...huyu dogo ni hazina.
 
Back
Top Bottom