PAGAN
JF-Expert Member
- Aug 19, 2014
- 13,247
- 22,122
Nina taarifa Boss, ila game ya jana sikupata nafasi ya kuiangalia, ile dhidi la Levante niliicheck, sikuona kitu kipya, ndio maana hapo juu nimejiuliza!! Inawezekana Arbeloa amepata muarobaini!? Acha tuone, japokuwa sina shaka nae, maana aina ya mpira wake ulinivutia sana akiwa Castilla, Wale watoto walikuwa wa moto vibaya mno!!
Kulikuwa na mtu mmoja humu miaka ya nyuma nilikuwa nacheka sana akimuongelea Alberoa kipindi hicho alikuwa deffender wetu.
Aliwahi kusema Alvaro Albeloa can make a good coach because of the time he was spending on the bench. Jamaa alikuwa anasugua bench mpaka huruma, lakini ni Madridista damu