Tareek Azeez
JF-Expert Member
- Mar 29, 2014
- 12,932
- 32,357
Mawenzi Market ya Mrogoro.My wetu umeona bora utukimbie kabisa.
Umeenda kugawa utamu kwa watoto umeona ukitupa sisi tutafaidi.
Mawenzi Market ya Mrogoro.My wetu umeona bora utukimbie kabisa.
Umeenda kugawa utamu kwa watoto umeona ukitupa sisi tutafaidi.
***** pesa za kununua marefa zilienda kujenga uwanja
mmeshinda uefa tano za uwongo
Kima nyie😤😤
Natumai ushindi utapatikana.Uefa champions league tunakipiga na Monaco usiku huu kwenye uwanja wa nyumbani, Santiago Bernabeu
Hivi Rodrygo ni majeruhi? Maana hii game ya pili simuoni kwenye kikosi.
Hivi Rodrygo ni majeruhi? Maana hii game ya pili simuoni kwenye kikosi.
Natumai ushindi utapatikana.
Kwa mara ya kwanza tumepata ushindi mkubwa msimu huu, je ndio mwanzo wa safari!? Ama vijana walikutana na vibonde!! Game zijazo ndio zitatupa picha.
Kwa mara ya kwanza tumepata ushindi mkubwa msimu huu, je ndio mwanzo wa safari!? Ama vijana walikutana na vibonde!! Game zijazo ndio zitatupa picha.
Nina taarifa Boss, ila game ya jana sikupata nafasi ya kuiangalia, ile dhidi la Levante niliicheck, sikuona kitu kipya, ndio maana hapo juu nimejiuliza!! Inawezekana Arbeloa amepata muarobaini!? Acha tuone, japokuwa sina shaka nae, maana aina ya mpira wake ulinivutia sana akiwa Castilla, Wale watoto walikuwa wa moto vibaya mno!!Benchi la ufundi limebadilika au huna taarifa mkuu?