Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

***** pesa za kununua marefa zilienda kujenga uwanja

mmeshinda uefa tano za uwongo

Kima nyie😤😤
Screenshot_20260115-190803_Facebook.jpg
 
Benchi la ufundi limebadilika au huna taarifa mkuu?
Nina taarifa Boss, ila game ya jana sikupata nafasi ya kuiangalia, ile dhidi la Levante niliicheck, sikuona kitu kipya, ndio maana hapo juu nimejiuliza!! Inawezekana Arbeloa amepata muarobaini!? Acha tuone, japokuwa sina shaka nae, maana aina ya mpira wake ulinivutia sana akiwa Castilla, Wale watoto walikuwa wa moto vibaya mno!!
 
Back
Top Bottom