Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

1000113190.jpg
 
Beki sio ya clean sheet, kushinda hii game tunatakiwa kutupia nyingine 2.
Kule mbele vilevile wote wako zigzag tu. Rodrygo na Vini walitakiwa wawe mawinga lakini wote wako kwenye box
Sijui ni maelekezo ya Alonso ama ni vipi, ila Rodrygo tunajua uchezaji wake, Mimi ninaona kama bado Alonso anajitafuta
 
Huyu Dean Huijsen anatoa maboko, sijui hii namba haiwezi
Tuna shida sana kwenye back line yetu maana tumeandamwa na majeraha kweli kweli, hapo comb nzuri ni Dean na Militao ama Militao na Alaba, ila Rudiger uwezo umeshuka sana, huyo Asencio sijui anajikutanaga nani, sijawahi kumwelewa yule Mtoto.
 
Hongereni,fainali na Barcelona sijui mtatoboa maana atataka kulipiza kisasi kufungwa mechi ya kwanza ya Ligi....
Sema sijui kwanini hizi mechi za Super Copa de espana accessibility yake kuziona ni ngumu, maana sio Azam Wala DStv hazioneshwi uko...
 
Angalia mpira move on. Mambo ya kuchukia na kucomment kwenye page zisizokuhusu ni dalili ya kufeli maisha. Ain't nobody got time for that.
Yes, nimefeli maisha.
Yes, naichukia Madrid kama navyochukia shetani na ccm.
Yes, SITAACHA KUCOMMENT KWENYE PAGE ZA WATU.

POLE KWA KIPIGO 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom