Hiki kipigo cha leo ni cha kujitakia kiukweli, Alonso ninaona bado hajisomi, Real Madrid sio team ya kujengwa ni team ya matokeo, asije kushangaa akitupiwa virago!!
Tangu jana najiuliza aliwezaje kuchukua ubingwa na Bayaern04 bila kufungwa, nakosa majibu aisee.Xabi Alonso hamna kocha humu yaani talent zote hizi anashindwa kuwa solid anapigwa 2 Bernabeu? Bure kabisa
Wachezaji walikuwa wanajitumaTangu jana najiuliza aliwezaje kuchukua ubingwa na Bayaern04 bila kufungwa, nakosa majibu aisee.
Upo sahibhi kaka,wachezaji wa Madrid team work imepungua sana,lkn pia hawa no 8 anayeweza ku control mchezo,beki zinapitika kirahisi sanaWachezaji walikuwa wanajituma
Wachezaji walikuwa wanajituma
Management inabidi ishirikiane na benchi la ufundi kuweka sawa hili, ila rotation yake kwa wachezaji naona ni ndogo pia.Upo sahibhi kaka,wachezaji wa Madrid team work imepungua sana,lkn pia hawa no 8 anayeweza ku control mchezo,beki zinapitika kirahisi sana
Pale ilikuwa rahisi kwake maana wote walikuwa wanamsikiliza, na hapakuwepo mashindano baina ya wachezaji kuwa Mimi ni star kuliko wewe, kiufupi walikuwa wamoja sana, hii ilimsaidia Alonso pia ku-implement aina ya uchezaji anaoutaka.Tangu jana najiuliza aliwezaje kuchukua ubingwa na Bayaern04 bila kufungwa, nakosa majibu aisee.