Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Hiki kipigo cha leo ni cha kujitakia kiukweli, Alonso ninaona bado hajisomi, Real Madrid sio team ya kujengwa ni team ya matokeo, asije kushangaa akitupiwa virago!!
Xabi Alonso hamna kocha humu yaani talent zote hizi anashindwa kuwa solid anapigwa 2 Bernabeu? Bure kabisa
Tangu jana najiuliza aliwezaje kuchukua ubingwa na Bayaern04 bila kufungwa, nakosa majibu aisee.
 
Tangu jana najiuliza aliwezaje kuchukua ubingwa na Bayaern04 bila kufungwa, nakosa majibu aisee.
Pale ilikuwa rahisi kwake maana wote walikuwa wanamsikiliza, na hapakuwepo mashindano baina ya wachezaji kuwa Mimi ni star kuliko wewe, kiufupi walikuwa wamoja sana, hii ilimsaidia Alonso pia ku-implement aina ya uchezaji anaoutaka.

Ila kwa upande wa Real Madrid kwanza amekutana na vifungu vigungu ya wachezaji, kila kikundi kinajiona special kuliko wenzie, sasa hao watu kuwaweka pamoja inahitajika akili ya ziada na back up ya club, na bahati mbaya Alonso na yeye alianza vibaya, ya kumkumbatia mchezaji huyu na kumuacha huyu, hapo kiukweli alifeli, bahati mbaya pia anakuwa tena mgumu kujaribu njia mpya, sijui kiukweli labda abadilike ila sioni akidumu kwenye hii club endapo ataendelea na muendelezo huu.
 
Outside Santiago Bernabeu this afternoon

1000111033.jpg
 
Rudiger hatakiwi tena kucheza tena kwenye hii team, bado ana usela mavi wa zamani, goli la kusawazisha alileta ujinga wake, this time kasababisha penalty isiyo ka kichwa wala miguu
 
Sijui Endrick alimkosea nini Alonso, yaani ameona ni bora atuwekee huyu Gonzalo Gacia badala yake?
 
Back
Top Bottom