Real Madrid (β€ŽLos Blancos) | Special Thread

Pumzika mtani. Jumamosi tupo na wewe fainali Copa del Rey. Tuko na maswali mengi sana ya kuiuliza defense yenu!

πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…
 
Pumzika mtani. Jumamosi tupo na wewe fainali Copa del Rey. Tuko na maswali mengi sana ya kuiuliza defense yenu!

πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…
Mkuu unataka wazimieπŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„
 

Tchou, camavinga ni brainless hamna kitu pale. Sifa wanazopewa ni kubwa mno kuliko uwezo wao sio players wa caliber ya Madrid wale ni players wa Espanyol huko.
 
Kabisa mkuu hii ni sherehe kwao.
 
✍🏾 Thierry Henry
" In Europe everyone fears Madrid, but Madrid fears Arsenal"
 
Tchou, camavinga ni brainless hamna kitu pale. Sifa wanazopewa ni kubwa mno kuliko uwezo wao sio players wa caliber ya Madrid wale ni players wa Espanyol huko.
Tumeamua tu kuwazingatia hawa lakini Madrid kuna takataka nyingi sana mchezaji kama Vasquez, Garcia, Militao ,Endrick,Diaz na Guler wanafanya nini Madrid,

Kingine wachezaji quality madrid hawana consistent mfano Vini na Rodrigo hawawezi cheza miezi 2 consecutive kwa kiwango kile kile.
 
Ni wakati sahihi wa Don Carlo kupumzika maana hamna kipya kwake anategemea tu individual brilliant kwa key players
 
Ni Madrid wenyewe kuleta vyuma vya kazi, Jana Saka na Martinelli wote walikuwa wakirudi Hadi chini kabisa kukaba na imekuwa hivyo Kila siku Kwa arsenal, Sasa hivi mido ya Rice, Partey na Odegaard Iko compact sana na akili nyingi, Arsenal walikuwa hawatembei tu uwanjani Kila movement waliyofanya hata kama hawakuwa na mpira ilikuwa na maana.

Kilichoamua ni ubora wa Arsenal, hata mechi ingerudiwa mara kumi Bado Madrid angefungwa tu... Arsenal msimu huu Yuko Bora sana hivyo mara nyingi hufungwa Kwa ujanja ujanja na mpira wa kihuni huni, ukisema uende nao toe to toe kama ni mchovu hutoboi, mfanyie uhuni basi unamfunga...Subirini muone ikitokea Arsenal akakutana na Inter Milan, utaona jinsi mpira wa kihuni ulivyo na unavyochezwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…