Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

sawa tufanye mumepewa penalty yenu na mumeshafung. Haya ngapi ngapi?
 
Pumzika mtani. Jumamosi tupo na wewe fainali Copa del Rey. Tuko na maswali mengi sana ya kuiuliza defense yenu!

😅😅😅😅😅
 

Tchou, camavinga ni brainless hamna kitu pale. Sifa wanazopewa ni kubwa mno kuliko uwezo wao sio players wa caliber ya Madrid wale ni players wa Espanyol huko.
 
Kabisa mkuu hii ni sherehe kwao.
 
Tchou, camavinga ni brainless hamna kitu pale. Sifa wanazopewa ni kubwa mno kuliko uwezo wao sio players wa caliber ya Madrid wale ni players wa Espanyol huko.
Tumeamua tu kuwazingatia hawa lakini Madrid kuna takataka nyingi sana mchezaji kama Vasquez, Garcia, Militao ,Endrick,Diaz na Guler wanafanya nini Madrid,

Kingine wachezaji quality madrid hawana consistent mfano Vini na Rodrigo hawawezi cheza miezi 2 consecutive kwa kiwango kile kile.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…