sawa tufanye mumepewa penalty yenu na mumeshafung. Haya ngapi ngapi?Acha wamalize hasira zao zimewajaa vifuani mwao miaka nenda rudi,huwezi kuwa na mafanikio mara dufu ya wao tena combined halafu ukaungwa mkono,they know sisi ndio vizingiti kwao,so kututoa huwa ni zaidi ya sherehe kwao...ndio maana unaona penalt waliopata wao,the same scenario ndio hiyo tulionyimwa sisi ila hakuna anayeiongelea hilo,this is because "We are Real Madrid"..
HeheheAmegaragazwa vibaya sana. Eti come back.
kumanyoko kwel kweli!!
Mkuu unataka wazimie😄😄😄Pumzika mtani. Jumamosi tupo na wewe fainali Copa del Rey. Tuko na maswali mengi sana ya kuiuliza defense yenu!
😅😅😅😅😅
Kama tulivyosema nyakati nyingi hapa,timu kwa ujumla inahitaji mabadiliko makubwa sana,kuanzia eneo la beki hadi katikati pale,beki za kati na pembeni zipo hoi,haswa za pembeni,kaumia Carvajal basi kila mahali ni tobo hakuna muongozaji wa eneo la ulinzi,katikati hapo Valverde nafikiri ni uchovu sana na kuhamishwahamishwa namba,Tchoumeni na Ceballos ni wafangakazi hewa,hata Camavinga pia...hili eneo linahitaji mabadiliko makubwa sana...babu Modric huu uwe msimu wa mwisho kwake,hawa madogo kama hawaaminiwi basi watolewe...eneo la kati kwa maana ya namba 6 tunahitaji watu katili kweli kweli wenye uwezo wakunusa hatari na wanaoweza kujitoa kwa timu,huyu Fran Garcia kashindwa hata kuchukua kadi nyekundu kwa faida ya timu hata iwe draw..benchi la ufundi nalo litoke tu maana mbinu zao zimeshapitwa na wakati.
Yote kwa Yote,tuonane msimu ujao,huu kwetu umeshakwisha kwa aibu..tutarudi tukiwa imara msimu ujao.
Na badoHehehe
Mtoe huyo KloppEddie Howe na Jurgen Klopp
Kabisa mkuu hii ni sherehe kwao.Acha wamalize hasira zao zimewajaa vifuani mwao miaka nenda rudi,huwezi kuwa na mafanikio mara dufu ya wao tena combined halafu ukaungwa mkono,they know sisi ndio vizingiti kwao,so kututoa huwa ni zaidi ya sherehe kwao...ndio maana unaona penalt waliopata wao,the same scenario ndio hiyo tulionyimwa sisi ila hakuna anayeiongelea hilo,this is because "We are Real Madrid"..
Ceballos aliingia lkn wapi VARDRID 😂without Ceballos kuna hatari ushindi wetu ukawa ni sare. Hali ya timu katikati inakatisha tamaa, na Arsenal kati kwa kweli wapo vizuri.
Ft VARDRID 1-2 Arse8 na kuziba kote huko 🤣🤣View attachment 3304053
huu uwanja ukizibwa vizuri pale juu...lolote linawezekana
Yaan mpira umedundia mbali ..eti ndo limbappe linajirusha penalty za namna hii unazipata kwenye ligi ya nbc chini ya marefa kina kayoko ..mmezoea sana janjajanja hamna Leo out 😂NO PENALTY! The referee deems Rice made no foul on Mbappe
View attachment 3306745
View attachment 3306746
Ceballos na abuya nani mchezajiwithout Ceballos kuna hatari ushindi wetu ukawa ni sare. Hali ya timu katikati inakatisha tamaa, na Arsenal kati kwa kweli wapo vizuri.
Tumeamua tu kuwazingatia hawa lakini Madrid kuna takataka nyingi sana mchezaji kama Vasquez, Garcia, Militao ,Endrick,Diaz na Guler wanafanya nini Madrid,Tchou, camavinga ni brainless hamna kitu pale. Sifa wanazopewa ni kubwa mno kuliko uwezo wao sio players wa caliber ya Madrid wale ni players wa Espanyol huko.