Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Duh!, aisee huyu vinicius hayupo serious kabisa. Half Time badala ya kwenda kumsikiliza kocha ye ndo kwanza yupo mitaani anacheza cheza na grealish na leah williamson kwenye tangazo la pepsi
 
Vijana watatu leo wametema ballon dor😂
, acha perez na msimu huu aonje joto ya jiwe tena
 
Ukiachana na babu Carlo kuna kitu cha ziada hawa kina Vini, Mbappe, Rodrygo, Jude wanaweza fanya na kocha mwingine na labda tuseme ni kocha gani anaweza kufaa Madrid hii yenye pancha nyingi
 
Hakuna cha comeback hapa,
Duh!, aisee huyu vinicius hayupo serious kabisa. Half Time badala ya kwenda kumsikiliza kocha ye ndo kwanza yupo mitaani anacheza cheza na grealish na leah williamson kwenye tangazo la pepsi
Wamezidiwa mbinu na Arsenal,Hakuna cha comeback,hakuna kukariri Maisha

Madrid Out
 
NO PENALTY! The referee deems Rice made no foul on Mbappe
CgAGVmgABaOAP4VPAIGnP1R6awc941.gif


CgAGVWgABdeAYeMmAF07ZrTRjXA981.gif
 
Back
Top Bottom