Raj kapool
JF-Expert Member
- Jun 29, 2018
- 1,557
- 2,597
Refa wa leo ka umri kameenda au afya mgogoro?
Wenzangu mnamuonaje
Wenzangu mnamuonaje
SUreWampe tu, misimu zaidi ya 7 mfululizo hatoki kwenye top 10 ya ballon d or.
Ndio mchezaji pekee aliepo sasa kwenye soka la ushindani ambae kaingia kwenye chat ya top 10 mara nyingi zaidi.
Jamaa kazaliwa 1980, just 45 yrs tu ila anaonekana kama mzee mpiliRefa wa leo ka umri kameenda au afya mgogoro?
Wenzangu mnamuonaje
Aisee kazeeka vibaya sana na kibyongo juuJamaa kazaliwa 1980, just 45 yrs tu ila anaonekana kama mzee mpili
By default 😄😄😄Hahahahahaha ila sasa Ballon D'or inamtaka mbappe by default
Nimeingia kwenye uzi ili nikuite ila kwa bahati nzuri nimekuta tayari umefika kabla yangu.Penalty Goal! Mbappe dinks ball down middle of the goal! Real Madrid 1-0 LeganesView attachment 3287656
Ndugu mtani, mpaka sasa hivi ninavyoandika hapa, Mbappe hajawahi kufunga goli la free kick. Freekick goal huwa haina assist, inapigwa direct kwenda golini.Mtangazaji alikua anasema mbappe hajawahi kufunga free kick kwenye career yake ya soka.
Dakika 0 tu jamaa anafunga kwa mara ya kwanza
Sawa ubao unasoma ngapi ngapiNdugu mtani, mpaka sasa hivi ninavyoandika hapa, Mbappe hajawahi kufunga goli la free kick. Freekick goal huwa haina assist, inapigwa direct kwenda golini.
😅😅😅😅
Ubao unasoma hakuna freekick goal kwa Mbappe!Sawa ubao unasoma ngapi ngapi
Watu wanataka point 3, wewe unataka free kick goal.Ubao unasoma hakuna freekick goal kwa Mbappe!
😅😅😅😅
Tutolee utoto wako huku hakuna anaendika na kuweka ma emojiItakua classico ya manyanyaso makali sana kwenu watani. Tutawapika kikatili mno!