Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Kwa upande wa kuzuia ni kwel chujio ila sio sawa na lucas vasquez.

kwanini umlinganishe na Lucas na sio Carvajal au Valverde ambao ndio starters wetu? lucas ni mchezaji wa dharura, au huyo anorld anakuja kukaa bench?
 
kwanini umlinganishe na Lucas na sio Carvajal au Valverde ambao ndio starters wetu? lucas ni mchezaji wa dharura, au huyo anorld anakuja kukaa bench?
Carvajal ni majeruhi haijulikani akipona atarudi kwenye kiwango chake kwa muda gani?

Vervede ni wa dharula kama ilivyo kwa lucas, ila dharula zao zinatofautiana

Vervede anahitajika eneo la kiungo ila alirudi nyuma kutokana majeraha ya carvajal na vasquez.

Vasquez mbele alishapoteza namba kitambo, akarudishwa nyuma ambako madrid imekua ikisua sua kwa kua haikua na backup ya carvajal.

So ikiwa Vervede anaweza kucheza kiungo na nafasi yake ipo, ulitaka nimlimganishe nani mwingine kama sio vasquez ambae hakuna nafasi ingine anayoweza kucheza kwa sasa zaidi ya beki mbili!!
 
Kikosi cha leo hiki hapa.. halla Madrid
 

Attachments

  • FB_IMG_1743273337574.jpg
    FB_IMG_1743273337574.jpg
    93.4 KB · Views: 10
Mpaka sasa kuelekea mapunziko ni Mbappe, Diaz, Garcia, modric ndio wamecheza vizuri.

Canavinga ndio kaongoza kuharibu akifuatiwa na ndugu yake Vasques kisha Rudiger.
 
Back
Top Bottom