synonym II
JF-Expert Member
- Nov 25, 2024
- 276
- 311
😂Wasenge wanakaba kama vibaka wa keko mpira gani wakiboya hivi timu nzima inakaba
Waweza fikiri ni BARCA ya 2012 - 2014
😂Wasenge wanakaba kama vibaka wa keko mpira gani wakiboya hivi timu nzima inakaba
Rudiga mwehu mwehu sanaRudiger nusu anipasue kichwa.,
Hata vin hajawahi kosa penalty akiwa na madrid ila leo kakosa
Vin hajawahi labda mbappeVini na Mbappe wamewahi kukosa.
Wamecheza vizuri sana leo ATLETICOJamaa wanakaba vibaya
Noma sana nimeifananisha na Azam fc wakikutanaga na Yanga jinsi wanavyokaza mishipa
Waweza fikiri ni BARCA ya 2012 - 2014
Sahihi, huwa wanatukazia - ugomvi 😃Noma sana nimeifananisha na Azam fc wakikutanaga na Yanga jinsi wanavyokaza mishipa
Dogo aligusa mpira mara mbili ..Sasa sijui bahati mbaya au alikua anafanya janjajanja.Penalty ya Alvarez alifunga, kwa nini wakaandika amekosa?
Double TouchPenalty ya Alvarez alifunga, kwa nini wakaandika amekosa?
Mmeshinda kwa penalty ila mtalala na viatu leo
Vin hajawahi labda mbappe
Tukichukua ubingwa ndio mjue sio wa kubebwaMmeshinda kwa penalty ila mtalala na viatu leo
Penalty ya Alvarez alifunga, kwa nini wakaandika amekosa?