Khanji kapoor
JF-Expert Member
- Oct 19, 2024
- 3,764
- 9,520
Highline ball ikikubali
Perez ashafanya yake kadi nyekundu zimeanza kuwaepushia aibu ya mwakaBoys do not watch porn tonight, come and see Barça fuckiing REAL VARID 😂
With one man down yamal ndio sub sahihi sio mzuri kwenye second BallKumtoa Yamine wakati Yuko moto ni kosa kubwa sana Kocha kafanya na inaweza kumgharimu, dogo alikuwa anaifanya team inwcheza hasa Kule mbele
Tafuten midfielder Aina ya Kroos mchukuen hata Pogba😃team ina udhaifu mkubwa sana kwenye defense, na miifield yetu bado ni dhaifu sana kwa kupambana na timu kama Barca
Huyo camavinga Bora united tulimkosaTchouameni alifikaje Madrid?
Camavinga is brainless hana akili hata kidogo. Sijawahi kumuelewa.
LV can't defend to save his life.
Rudiger alikua out of position kila mara.
Mendy is way past his prime.
Hakuna mid creative kama Kroos au Modric. Kila game siku hizi ni kama fainali hata last game tumefunga magoli extra time.
Utafungwa hata BAO 100Highline ball ikikubali