Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

We were completely dominated last night. Don carlo amezoea ku under estimate mpinzani. Second tym anacheza na barca ana ingia na matokeo mkononi. Hata game ya kwanza ilikuwa hivi hivi. Mwisho tunafungwa nyingi
 
Mbappe opens the scoring on the counter attack! Real Madrid 1-0 Barcelona
1736745607091.gif
 
kwa alietizama mechi ya jana, atawezakuona ninachokizungumza kila siku humu, Tchou, Ceballos na Modric walivyo dominant midfield, na kuifanya mechi kuwa nyepesi, baada ya kutoka wao kila kitu kiabadilika, kama mtakumbua mechi ya ligi ya Celta tuliocheza nayo tulikuwa taabani tukiwa na Jude, Valverde na Camavinga katikati.

Real Madrid ina tatizo kubwa kwenye midfield, Jude ni mchongo, Camavinga sio starting material kwa timu kama real Madrid.
Ceballos na Modric should always start kwenye hii timu kwa sasa.
 
kwa alietizama mechi ya jana, atawezakuona ninachokizungumza kila siku humu, Tchou, Ceballos na Modric walivyo dominant midfield, na kuifanya mechi kuwa nyepesi, baada ya kutoka wao kila kitu kiabadilika, kama mtakumbua mechi ya ligi ya Celta tuliocheza nayo tulikuwa taabani tukiwa na Jude, Valverde na Camavinga katikati.

Real Madrid ina tatizo kubwa kwenye midfield, Jude ni mchongo, Camavinga sio starting material kwa timu kama real Madrid.
Ceballos na Modric should always start kwenye hii timu kwa sasa.

Tchou na Camavinga are brainless hawana akili hata kidogo sijui walifikaje Madrid. I'm glad jana Tchou kazomewa kila akigusa mpira.

Modric bado skills anazo ila hana mbio tena za kucheza fulltime.

Jude anajua mpira kaibeba sana Madrid toka last season.

Madrid inahitaji new creative mids na defenders wawili hao kina Cama na Tchou wauzwe Espanyol huko.

Toka huu msimu uanze kila game ni kama final tunashinda kwa mbinde sana no matter the starting line up, hilo ni tatizo. Na timu zote kubwa hadi Milan iliyojichokea zimetufunga.
 
Tchou na Camavinga are brainless hawana akili hata kidogo sijui walifikaje Madrid. I'm glad jana Tchou kazomewa kila akigusa mpira.

Modric bado skills anazo ila hana mbio tena za kucheza fulltime.

Jude anajua mpira kaibeba sana Madrid toka last season.

Madrid inahitaji new creative mids na defenders wawili hao kina Cama na Tchou wauzwe Espanyol huko.

Toka huu msimu uanze kila game ni kama final tunashinda kwa mbinde sana no matter the starting line up, hilo ni tatizo. Na timu zote kubwa hadi Milan iliyojichokea zimetufunga.

Tchou jana aliupiga mwingi, anahitaji kucheza na quality midifield kama aliocheza nao jama na sio vifaru wenziwe.

Jude ameibebaje madrid? kama zile tapins ndio kubeba kwanini tusiseme na Josel nae aliibeba?

Hilo ndio tatizo kuu, inahitaji two creative midfields tena wawili mmoja wa juu na mmoja wa chini.
 
Tchou jana aliupiga mwingi, anahitaji kucheza na quality midifield kama aliocheza nao jama na sio vifaru wenziwe.

Jude ameibebaje madrid? kama zile tapins ndio kubeba kwanini tusiseme na Josel nae aliibeba?

Hilo ndio tatizo kuu, inahitaji two creative midfields tena wawili mmoja wa juu na mmoja wa chini.

Hizo hizo tap in counts mbona wengine hawafanyi. Nani alikua La liga best player last season?

Jude, Fede na Rudiger ndo players pekee wanacheza kwa moyo kila game.

Tchou hana msaada wowote jana ni sababu Modric alianza ila Tchou mwenyewe is brainless I can't wait wamuuze 2nd division huko na mwenzake Cama. Madrid ameanza kuzomewa hawamuachi atasepa tu mwenyewe au abadilike sana.
 
Back
Top Bottom