Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

team ina udhaifu mkubwa sana kwenye defense, na miifield yetu bado ni dhaifu sana kwa kupambana na timu kama Barca
 
Kwanini tusicheze 4-3-3?
Hii ya kutupia mipira mbele Mbappe akafunge haiwezi kutulipa.

mkuu kwani hapo we unaona tunacheza formation gani? tatizo kubwa timu yetu kati kati ni dhaifu, na nyuma ndio hakufai kabisa. midfield zetu hazina uwezo wakumiliki mpira vizuri wala kutenegeneza nafasi vizuri. wote Jude, Valverde na camavinga ni box to box, wapo style moja kabisa, alitakiwa achezo mmoja tu kati yao. tuna tatizo kubwa la creativeness.
 
Ama kweli mpira si pesa

Lile kosi la Madrid thamani yake unanunua vikosi vitatu vya Barcelona😁😁😁😁
Hakuna wa kukaba wote mabishoo 😀😀

Belngham anatembea km dime la nyani
Mbape hataki aguswe unamchafua 😀😄
Vin ukimgusa anakupiga ngumi 😀😀😄

Timu linaishi kwa kuhonga marefa
 
Back
Top Bottom