Lord Lofa
JF-Expert Member
- Dec 26, 2011
- 2,512
- 2,752
Hamna ndugu yangu tusidanganyane hii timu msimu huu spana mkononi sanaAnachukua Uefa kama kawaida yake😃
Hamna ndugu yangu tusidanganyane hii timu msimu huu spana mkononi sanaAnachukua Uefa kama kawaida yake😃
Beki hamna mjue Barcelona wapo fullHamna ndugu yangu tusidanganyane hii timu msimu huu spana mkononi sana
Kwanini tusicheze 4-3-3?mkuu midfield wazuri wakumiliki mpira ni akina nani? Jude na Valverde? huko serious mkuu
Hiyo italazimu Jude atoke aingie ModricKwanini tusicheze 4-3-3?
Hii ya kutupia mipira mbele Mbappe akafunge haiwezi kutulipa.
Kwanini tusicheze 4-3-3?
Hii ya kutupia mipira mbele Mbappe akafunge haiwezi kutulipa.
Hiyo italazimu Jude atoke aingie Modric
Licha ya kuyumba namna hii kwenye ulinzi Perez ni kama kaziba masikio, maana kwa hali tuliyonayo kiulinzi, hatutoboi
Hakuna wa kukaba wote mabishoo 😀😀Ama kweli mpira si pesa
Lile kosi la Madrid thamani yake unanunua vikosi vitatu vya Barcelona😁😁😁😁