Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Nyie umber pesa za kuhonga marefa mmjengea uwanja 🤣🤣🤣

Mnatapigwa kile kibabu perez kitakufa kwa sukar

Nyau nyie
 
Nyie ubwa pesa za kuhonga marefa mmjengea uwanja 🤣🤣🤣🤣

***** mtashukaaa daraja🤣

Madrid mwembe wa uwan🤣
 
1733064170127.png
 
Bellingham amempidha Arda Güler, ni matumaini yangu ni mabadiliko ya kawaida tu na sio majeraha, kwasababu kiukweli majeruhi yametuandama kweli kweli.,
 
Ceballos ana pass fulani kali sana, ni vile tu Ancelloti alikuwa hamuelewi, ila kwasasa sio mbaya, ana confidence na anacheza vizuri
 
Huyu Mbappe magoli anayokosa ni 99% ya nafasi anazopata,inatakiwa afanye mazoezi sana yakutumia nafasi..
Nindhani alipania sana kuwakera PSG, bahati mbaya mambo hayajaenda alivyotaka., kilichobaki ni atulize kichwa tu sasa,afanya mazoezi kadri anavyoweza.
Kuna sehemu nimeona kuwa Club imemcheck Zidane ili afanye mazungumzo na kijana,
 
Back
Top Bottom