Superficial
JF-Expert Member
- Nov 25, 2023
- 307
- 645
Brahim diaz akienda right wing na endrick(arda aende bench) kuwa 9 itakuwa vyema kabisa.
Ulikuwa unasemaje we kenge poriLeo team ili balance sana,liverkuku wajiandae
😁Leo team ili balance sana,liverkuku wajiandae
Lini uku mnatuchania mikekaTimu itarudi imara,tunapitia kipindi kigumu sana,
Wameshawaona hamna kituKuna nafasi kubwa Liverpool wanaiacha wakati wanaenda kushambulia, ni bahati mbaya tu hatujaweza kuitumia., unahitajika utulivu wa washambuliaji wetu