Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Brahim diaz akienda right wing na endrick(arda aende bench) kuwa 9 itakuwa vyema kabisa.
 
Kenge nyie mlizoea kumuonea babu klopp kenge nyie siwapendi. Wakitoka shetani na ccm mnafata nyie kwa kuwachukia
 
Unatuwekea kikongwe Modric sisi hivi nyie wazima kweli
???
Nawachukia sana akitoka shetani na ccm mnafata nyie kwa kuwachukia
 
Hiki kigenge kimepoteana.

Jana yamewakuta mazito poleni sana.
 
Nyie umber pesa za kuhonga marefa mmjengea uwanja 🤣🤣🤣

Mnatapigwa kile kibabu perez kitakufa kwa sukar

Nyau nyie
 
Back
Top Bottom