pierre tall
JF-Expert Member
- Nov 5, 2013
- 4,245
- 3,728
Hiyo itakuwa safi sana...maana kwa kwel anatucost na anakuwa na haraka na maamuzi sana,hana utulivu eneo la mwisho.Nindhani alipania sana kuwakera PSG, bahati mbaya mambo hayajaenda alivyotaka., kilichobaki ni atulize kichwa tu sasa,afanya mazoezi kadri anavyoweza.
Kuna sehemu nimeona kuwa Club imemcheck Zidane ili afanye mazungumzo na kijana,
