IamMrLiverpool
JF-Expert Member
- Apr 27, 2014
- 4,805
- 7,258
Nawachukia sana nyie kenge akitoka shetani na ccm mnafata nyie kwa kuwachukia
Vamos hala madrid
Acha tu man, sishangai kumaliza kipindi cha kwanza bila kupiga shuti langoni mwa Girona, sio kwa back pass hizi.We're struggling to hold the ball kama sio Real Madrid, WTF
Acha tu man, sishangai kumaliza kipindi cha kwanza bila kupiga shuti langoni mwa Girona, sio kwa back pass hizi.
😂😂tumvumilieHuyu Mbappe anashida mahali, sio kawaida kiukweli.
Huyu Mbappe anashida mahali, sio kawaida kiukweli.
Vinicius ilikuwa ni kituko, aafanya kazi nzuri, halafu anatoa boko pasi ya mwisho, kuna wakati mpka Benzema akamuona kama mpinzani.,Game yake itabadilika tu, nakumbuka kuna watu walikuwa wanadai auzwe Benzema abaki Higuain. Kilichosaidia ni kwamba Perez ni mvumilivu sana, mpaka leo hii Benzema ni legend.
Au unakumbuka jinsi tulivyomvumilia Vinicius Jr mpaka akaipata game yake? Vini aliku anakera