It's time. Sio Saliba tu, na Saka pia. Wanapoteza time Arsenal
Tumeshinda kumbe tukicheza 4:4:2 angalau inakua afadhari kuliko mifumo mingine hasa 4:3:3.
Leo kajitahidi,kipindi cha kwanza, japo Bado kwenye ufungaji umakini unahitajikaMbape huyu dogo hayupo serious kabisaaa