Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Movie bado haijasha,




Baada ya kupata goli, 20 minutes to go, Bayern wakaanza kutegemea drama. Si unaona hata disallowed goal la Real Madrid, jamaa badala ya kudefend tucheze mpira wakaanza kuhamia Hollywood. Kuna mambo kwenye hii knock out stage yanakera sana. Refa nae sijui sababu gani alikuwa hataki kumaliza mpira baada ya dakika 15 za nyongeza, yaani alimradi tu watuharibie sherehe
lile Goli la Nacho angekua micheal oliver angeweka kati yule ni shabiki kindaki wa The white ndio maana hawataki kabisa kumpa game za Real madrid hasa kubwa
na Vile Bayern baada ya kupata Goli walikua wanalala angepeta hadi wajute
washukuru sana Mungu toka Micheal oliver awanyonge Juve amekua hapewi mechi za Real madrid
 
lile Goli la Nacho angekua micheal oliver angeweka kati yule ni shabiki kindaki wa The white ndio maana hawataki kabisa kumpa game za Real madrid hasa kubwa
na Vile Bayern baada ya kupata Goli walikua wanalala angepeta hadi wajute
washukuru sana Mungu toka Micheal oliver awanyonge Juve amekua hapewi mechi za Real madrid

Hata yule refa kaogopa lawama tu, lakini angalia vizuri, akamvaa Nacho kwa makusudi halafu kajiangusha hataki kucheza mpira.
Yasemwe yote lakini you can't take it from Real Madrid. 20 minutes to go walikuwa down kwa goli moja lakini wamecheza mpira wametikisa nyavu mara 3.
Na hii sio mara ya kwanza, wamefanya hii kitu again and again. Wamaolalamika sijui tuwape nini?
 
Hizi mechi za real Madrid na Bayern munchen laziwe ziwe na controversy ndani yake, mechi ikiisha lazima usikie hivi mara hivi.

Sijapenda mchezo wa Bayern baada ya kupata bao. Hata Atletico Madrid nao wako vile, badala ya kucheza mpira mpaka dakika ya mwisho wanahesabu dakika, lazima ziwe lawama kwasababu wanategemea favours upande wao tu. FIFA waiangalie hii kitu inatuharibia mpira.
 
Mzee hukuona alivyokuwa anaua moves golini kwao

ameblock mipira miwili, wakati wenziwe wengi wameblock zaidi ya hiyo, alikuwa ni worst player ndani ya pitch kwa real madrid na hata rating zote zinazungumza hivyo.


Real Madrid player ratings vs Bayern Munich: Joselu, you cannot be serious?! Super-sub writes his name into Champions League folklore as Vinicius Jr's brilliance is rewarded with late comeback | Goal.com

Hii nimoja ya media inayompigia debe mno ila kwa jana pia imekosa uchochoro wa kumtetea.
 
ameblock mipira miwili, wakati wenziwe wengi wameblock zaidi ya hiyo, alikuwa ni worst player ndani ya pitch kwa real madrid na hata rating zote zinazungumza hivyo.


Real Madrid player ratings vs Bayern Munich: Joselu, you cannot be serious?! Super-sub writes his name into Champions League folklore as Vinicius Jr's brilliance is rewarded with late comeback | Goal.com

Hii nimoja ya media inayompigia debe mno ila kwa jana pia imekosa uchochoro wa kumtetea.
wew na we tutole upambavu wako apo kila siku Jude Jude tumekuchoka
 
wew na we tutole upambavu wako apo kila siku Jude Jude tumekuchoka

kwanini unateseka? nimemjuibu mtu mwengine unadandia? kiherehere cha nini mkuu? Angelifunga goli huyo Jude ungekuwa unagaragara hapa na kunitafuta, ame flop kwenye game unajifanya hutakiwa kusikia habari zake
 
kwanini unateseka? nimemjuibu mtu mwengine unadandia? kiherehere cha nini mkuu? Angelifunga goli huyo Jude ungekuwa unagaragara hapa na kunitafuta, ame flop kwenye game unajifanya hutakiwa kusikia habari zake
jukwaa sio lako hili Ndio maana unajibiwa na yoyote yule ingekua hutaki watu wenye viherere ungetengeneza jukwaa lako uwe una comment peke ako unakera haijarishi una mjibu nani kila siku wew ni sentensi moja kuwa Basi mtu mzima kidogo
 
jukwaa sio lako hili Ndio maana unajibiwa na yoyote yule ingekua hutaki watu wenye viherere ungetengeneza jukwaa lako uwe una comment peke ako unakera haijarishi una mjibu nani kila siku wew ni sentensi moja kuwa Basi mtu mzima kidogo
Mkuu samahani, naomba unicheki PM , yako naons umefunga, nataka tuongee jambo.
 

Comment namba 54.
hapana izo kazi mim

Comment namba 54.
iyo kazi sifanyi sorry mtafte mtu mwingine kuna comment nying tu kweny hiyo maada unaweza kutafta mtu mwingine na comment yangu inajieleza unataka kitu Gani tena kutoka kwangu
 
jukwaa sio lako hili Ndio maana unajibiwa na yoyote yule ingekua hutaki watu wenye viherere ungetengeneza jukwaa lako uwe una comment peke ako unakera haijarishi una mjibu nani kila siku wew ni sentensi moja kuwa Basi mtu mzima kidogo

Nawewe pia Jukwaa sio lako acha kuumia na comment za wenzio.
 

Comment namba 54

Nawewe pia Jukwaa sio lako acha kuumia na comment za wenzio.
hakuna anayeumia na comment zako ila umezidi kuandika upuzi
 
ameblock mipira miwili, wakati wenziwe wengi wameblock zaidi ya hiyo, alikuwa ni worst player ndani ya pitch kwa real madrid na hata rating zote zinazungumza hivyo.


Real Madrid player ratings vs Bayern Munich: Joselu, you cannot be serious?! Super-sub writes his name into Champions League folklore as Vinicius Jr's brilliance is rewarded with late comeback | Goal.com

Hii nimoja ya media inayompigia debe mno ila kwa jana pia imekosa uchochoro wa kumtetea.
Hata kama mtu haumpeendi hii imekua too much yaani wewe hujaona jitihada yake yoyote?
 
Hata kama mtu haumpeendi hii imekua too much yaani wewe hujaona jitihada yake yoyote?

mkuu kwanini munaumia na mimi kutoa mawazo yangu? kila mtu uwanjani anafanya jitihada, kwa hiyo hapa hatupu kwenye kzuungumzia jitihada, nimezungumza performance nzuri na sio jitihada.
 
Back
Top Bottom