United ya Ferguson
JF-Expert Member
- Oct 29, 2021
- 3,234
- 6,597
lile Goli la Nacho angekua micheal oliver angeweka kati yule ni shabiki kindaki wa The white ndio maana hawataki kabisa kumpa game za Real madrid hasa kubwaMovie bado haijasha,
Baada ya kupata goli, 20 minutes to go, Bayern wakaanza kutegemea drama. Si unaona hata disallowed goal la Real Madrid, jamaa badala ya kudefend tucheze mpira wakaanza kuhamia Hollywood. Kuna mambo kwenye hii knock out stage yanakera sana. Refa nae sijui sababu gani alikuwa hataki kumaliza mpira baada ya dakika 15 za nyongeza, yaani alimradi tu watuharibie sherehe
na Vile Bayern baada ya kupata Goli walikua wanalala angepeta hadi wajute
washukuru sana Mungu toka Micheal oliver awanyonge Juve amekua hapewi mechi za Real madrid