Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

1 Madrid angekuwa amebebwa mbona goal lake alofunga Kwa foul lilikataliwa hadharani na alikubali kiroho safi. Na ilikuwa ni haki likataliwe sababu Nacho alimsukuma mtu

2. Ile last attempt (offside) ya bayern ni kwamba filimbi ya kusimamisha mpira ndio ilitangulia halafu goal la Bayern likafuata je lingeruhusiwa Ingekuwa ni haki ?
 
Achana na mizumbukuku iliyohemukwa na mahaba niue hadi haielewi kuwa Real Madrid kapita kwa mbeleko.

Ubinadamu ni kazi/The humanity is a work.

Nenda kakojoe ukalale. Huko kwenye mitandao sports channels zote zinajadili kuhusu game ya usiku huu na hakuna anaelalamikia ushindi wa Real. Wewe uko huko Vikindu ndio unajifanya Pundit
 
Bado siamini tumeingiaje final
Hesabu za don carlo ziljibu kama uliona vizur kipind cha pili Vin alishuka pembeni na akawa anatengeneza nafasi nyingi zikawa zinakosa mtu wa kuzitumia alitengeneza nafasi kama nne ivi mipira ikawa inapita tu had kuna mda alikua ana amua a drive akafunge mwenye

Joselu alingia kumalizia nafasi zilzokua zinatengenezwa zinakosa mtu wa kumalizia na Ndio shida ya madrid ilikua apo na camavinga na Luca modric walingia kupush mashumbulizi katika ya kiwanja Brahim diaz sub yake ilikua ni kuongeza pressure eneo la kushoto la Bayern asa kupunguza kasi ya Davies maana alikua anapanda kwahyo kitendo cha Brahim kuwa anashambulia sana kilimfanya Davies aze kurudi kusaidia kukaba kiufupi Sabu za Carlo zilikua tecnical sana
 
IMG-20240509-WA0004.jpg

VJ7
 
For those who did not know:

When a player is technically forward, but he has a part of his body (with which he can score) in line with the last defender, this will not be called offside. In order for an offside position to be signaled correctly, one of the parts of the player's body with which he can score a goal must be in front of the last defender, so in football it is not marked with the hand, the hand does not make that offside position , but leg, body and head.
 
Back
Top Bottom